JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania,Oman yafungua milango kukuza sekta ya nishati

Waziri wa Nishati January Makamba amekutana na Balozi wa Oman nchini Tanzania Saud Hilal Al Shidhani na kuzungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika sekta ya mafuta na gesi hususani katika miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa nchini. Mazungumzo hayo yamefanyika katika…

Rais Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya watu 19 Mbeya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera kufuatia vifo vya watu 19 vilivyotokea katika ajali ya gari. Ajali hiyo imetokea jana saa mbili asubuhi katika eneo…

Kiwanda cha kuchenjua madini ya shaba mbioni kuanzishwa Tunduru

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kiwanda cha kuchenjua Madini ya Shaba kinatarajiwa kuanzishwa wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma ili kuwezesha shughuli za kuchenjua madini hayo kufanyika nchini na hivyo kulinufaisha taifa na watanzania. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko…

Odinga hatambui matokeo ya urais Kenya

Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, kupitia wa Azimio la Umoja, Raila Odinga Raila, amekataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022, yaliyotangazwa jana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati. Jana, Chebukati…