JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majaliwa: Tuuze korosho zilizobanguliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakulima zao la korosho wafanye kilimo cha kibiashara kwa kuacha kuuza korosho ghafi na badala yake wauze zilizobanguliwa ili kujiongeza tija zaidi. “Wakati wa kubadilika umefika, tutumie fursa hii kujenga viwanda vya kubangulia korosho na…

Rasilimali watu na fedha vyapewa kipaumbele SADC

Na Peter Haule, WF, Luanda-Angola Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imejipanga kuwekeza katika rasilimali watu na fedha ili kuchochea maendeleo ya sekta ya viwanda ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Tamko la Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu…

Naibu Waziri Ummy atoa wito kwa wananchi kutembelea vivutio vya utalii

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia na (Sera, Bunge na Uratibu), Ummy Nderiananga ametoa rai kwa wananchi, Taasisi na Wizara kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutembelea vivutio vyetu vya utalii wa ndani. Wito huo umetolewa wakati Viongozi na…