Latest Posts
Tumekubali kusarenda kwa watia mimba
Kumekuwapo mjadala mpana unaohusu nafasi ya wanafunzi wajawazito kurejeshwa kwenye mfumo rasmi wa elimu. Jambo hili limezungumzwa kwa miaka mingi bila suluhu. Si jambo jepesi katika mfumo wa maisha ya Kitanzania, hasa tukizingatia kuwa wapo wahafidhina wasiopendelea mageuzi kwenye mambo…
KISA SH 3,000… Azuiwa kufanya mtihani wa taifa
*Mzazi aja juu, ataka Mkuu wa Shule achukuliwe hatua *Mwenyewe ajitetea, asema sababu ni utoro, utovu wa nidhamu Dar es Salaam Na Aziza Nangwa Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kinyamwezi iliyopo Pugu, Dar es Salaam, Sophia Said, amezuiwa kufanya mtihani…
Bila mazungumzo ya amani Ethiopia inaelekea kubaya
Na Nizar K. Visram Ethiopia ni moja ya nchi kubwa katika Bara la Afrika, ikiwa na wakaazi takriban milioni 115 na makabila zaidi ya 80. Aprili 2018, Abiy Ahmed, aliapishwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo na mwaka uliofuata akatunukiwa…
Vigogo 5 wasimamishwa Dar
DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Vigogo watano wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa ufisadi wa mamilioni ya shilingi. Tayari Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeanza kufanya…
Mnyeti kikaangoni
*Tume ya Haki za Binadamu yabainisha matumizi mabaya ya ofisi *Ashirikiana na mwindaji kuhujumu biashara za mwekezaji *Atuhumiwa kupokea ‘rushwa’ ya visima Uchaguzi Mkuu 2020 *Mwenyewe ang’aka, asema; ‘tusiongee kama wahuni, nendeni mahakamani’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hadhi…
Mkurugenzi NIDA ang’oka
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hatimaye Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Arnold Kihaule, ameng’oka katika nafasi yake. Mkurugenzi huyo ameng’oka huku kukiwa na malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watu mbalimbali akiwamo Spika wa…