Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
February 3, 2023
Kitaifa
Rais Samia ateta na ujumbe maalumu kutoka Kenya
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ateta na ujumbe maalumu kutoka Kenya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipitia Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. William Samoel Ruto, mara baada ya kuwasilishwa kwake na Mjumbe Maalum ambae ni Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Moses Kuria, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Febuari, 2023. Ujumbe huo ulilenga zaidi kwenye kuongeza na kudumisha undugu na pia ushirikiano wa Kiuchumi na Kibiashara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Moses Kuria, ambae pia ni Mjumbe Maalum wa Rais wa Kenya William Samoel Ruto, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Febuari, 2023. Ujumbe huo ulilenga zaidi kwenye kuongeza na kudumisha undugu na pia ushirikiano wa Kiuchumi na Kibiashara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe Maalum ambaye ni Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Kenya Moses Kuria, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Febuari, 2023. Ujumbe huo ulilenga zaidi kwenye kuongeza na kudumisha undugu na pia ushirikiano wa Kiuchumi na Kibiashara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Moses Kuria, ambae pia ni Mjumbe Maalum wa Rais wa Kenya Mhe. William Samoel Ruto, mara baada ya kumkabidhi Ujumbe kutoka kwa Rais Ruto Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Febuari, 2023. Ujumbe huo ulilenga zaidi kwenye kuongeza na kudumisha undugu na pia ushirikiano wa Kiuchumi na Kibiashara.
Post Views:
64
Previous Post
Polisi Pwani wamdaka aliyeua na kutoroka akutwa na shortgun
Next Post
Majaliwa:Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya VVU
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Habari mpya
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha
Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake
Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma
Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kimataifa wa barabara
Msafara wa wachezaji wawasili Paris kushiriki Olympic