JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania, Urusi kuongeza maeneo ya ushirikiano

Serikali ya Tanzania na Urusi zimekubaliana kuongeza maeneo ya ushirikiano katika sekta za biashara na uwekezaji,utalii pamoja na utamaduni. Makubaliano hayo yamefikiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk alipokutana kwa…

Kinana ashauri barabara nne Dar-Tunduma

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana emesema umefika wakati kwa Tanzania kuwa na barabara nne kila upande kutoka Dar es Salaam hadi Tunduma kwa ajili ya kufungua fursa zaidi za kiuchumi….

NMB yaendelea kuwa kinara wa ufanisi nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Benki ya NMB imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022. Faida kabla ya kodi imeongezeka kwa asilimia 54 na kufikia Shilingi bilioni 298 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 193 ya kipindi kilichoishia…

Makamba: Hatusambazi umeme vijijini kwa ajili ya kuwasha taa tu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Nishati,January Makamba amesema kuwa, Serikali haisambazi umeme vijijini kwa ajili ya kuwasha taa peke yake bali kuchagiza pia shughuli za kiuchumi ikiwemo uanzishaji wa viwanda. Amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda kinachochakata parachichi ili…

MOI wafanya upasuaji wa kibingwa kwa wagonjwa 7113

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kufanyia upasuaji wa kibingwa wagonjwa 7113 wa tiba ya mifupa ikiwa ni idadi kubwa ukilinganisha na wagonjwa 6793 katika mwaka uliopita huku wagonjwa wa…