JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ruto ndiye rais mteule wa Kenya

Mwenyekiti wa Tume ya Uvaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati ametangaza mgombea wa kiti cha urais William Ruto kuwa mteule wa nafasi ya kiti cha uraiswa kupata kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49. Mgombea huyo ambaye amechuana vikali…

Dkt.Abbasi atoa maelekezo kwa BASATA

Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi ametoa maelekezo mahususi kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuelekea tamasha la kihistoria la kuhamasisha Sensa kupitia Sanaa na Michezo (Sensabika). Akizungumza na Vyombo vya Habari leo Agosti 15,…

Wananchi watakiwa kutunza misitu ilete fursa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutunza misitu ili iweze kuleta fursa katika uwekezaji wa hewa ya ukaa. Ametoa wito huo leo Agosti 15, 2022 alipokutana na…

‘Kuna vifungu vya sheria vinavyowanyima usingizi waandishi wa habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa bado kuna vifungu vya sheria vinavyozuia uhuru wa habari na kuchangia waandishi wa habari kushindwa kutekeleza majukumu yao. Hayo yameelezwa leo Agosti 15,2022 na Mwenyekiti mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga,katika ofisi…