JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk. Mwinyi atoa salamu za Ramadhani, aonya

Zanzibar Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasihi wafanyabiashara kutoutumia mgogoro wa Urusi na Ukraine kama kisingizio cha kupandisha bei za bidhaa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza katika risala…

Bandari ya Karema kuwa kitovu cha usafirishaji Ziwa Tanganyika

KATAVI Na Mwandishi Wetu Nchi inazidi kufunguka. Miradi mbalimbali imeanzishwa, inaanzishwa na itaanzishwa huku utekelezaji wa ujenzi wake ukiendelea kwa nia moja tu ya kuhakikisha uchumi wa nchi unazidi kuimarika. Miongoni mwa ujenzi wa miradi inayoendelea kutekelezwa ni ule wa…

Biden aamua ‘kudhulumu’ fedha za Afghanistan 

Na Nizar K Visram (aliyekuwa Canada) Februari 11, mwaka huu Rais wa Marekani, Joe Biden, alitoa amri ya kutaifisha dola bilioni saba za Afghanistan zilizokuwa zimewekwa Marekani kama amana katika benki kuu.  Alisema kati ya fedha hizo dola bilioni 3.5…

Dosari mojawapo Mkutano Mkuu wa CCM

Na Joe Beda Rupia Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umefanyika jijini Dodoma wiki iliyopita. Ndiyo. Hili ni miongoni mwa matukio ambayo sisi wana habari hulazimika kuyafuatilia. Ni tukio kubwa nchini kwa kuwa hukusanya watu kutoka kila pembe…

Upekee wa mwezi wa Ramadhani na fadhila zake

Leo Jumanne Aprili 05, 2022, ni tarehe 3 Ramadhani (Mwezi wa 9 kwa Kalenda ya Kiislamu inayoanza Mwezi Muharram – Mfungo Nne) Mwaka 1443 Hijiriyya (toka kuhama kwa Mtume Muhammad –Allah Amrehemu na Ampe Amani – kutoka Makkah kwenda Madinah), kwa…

Nini chimbuko mabadiliko ya tabianchi?

DAR ES SALAAM Na Dk. Felician B. Kilahama Awali ya yote nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ni Alfa na Omega kwa zawadi ya uhai; si kwamba sisi ni wema kuliko waliopoteza maisha; bali ni kwa neema na rehema…