Latest Posts
Mradi wa umeme Rufiji rasilimali mpya nchini
Mwishoni mwa wiki iliyopita Rais Dk. John Magufuli alizindua ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa maji wa Mto Rufiji. Mradi huo wa kufua umeme wa Mto Rufiji, mkoani Pwani unatarajiwa kuzalisha megawatt 2,115, kiwango ambacho ni kikubwa zaidi katika…
NINA NDOTO (28)
Tumia kichwa chako vizuri Kila mtu amezaliwa na kichwa chenye ubongo kinachoweza kufanya mambo makubwa. Akili aliyopewa mwanadamu ikitumika vizuri inaweza kufanya mambo makubwa na pia kusaidia kutimiza ndoto nyingi. Mtu asiyeweza kutumia akili tunasema amerukwa akili au ni…
Nyaraka muhimu unapokabidhiwa gari kutoka bandarini
Hivi karibuni tumeeleza njia rahisi ya kutoa gari bandarini katika makala iliyopita. Njia hizi ni zile ambazo mteja anatakiwa kuzifuata ili aweze kutoa gari lake bandarini kwa haraka na bila usumbufu. Leo katika makala hii tutaelezea umuhimu wa fomu za Vehicle Discharge Inspection Transfer Tally (VDITT)…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (24)
Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji iwapo msomaji unafahamu viwango vinavyotozwa kwenye Kodi ya Zuio. Nirudie kukiri kuwa hadi sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inacho kituo kimoja tu cha Elimu kwa Mlipakodi kilichopo Dar es Salaam. Baada ya…
MIAKA 20 BILA MWALIMU NYERERE
Tunamuenzi vipi? Kwanza, naomba niwapongeze sana vijana hawa; Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI Ndugu Deodatus Balile na Naibu Mhariri Mtendaji, Ndugu Manyerere Jackton, kwa tuzo za uandishi bora walizopata mwaka huu kwa kazi zao nzuri sana. Walistahili kabisa…
Ndugu Rais umetukumbusha ya Mei Dei Mbeya
Ndugu Rais, kukumbuka tuliyoyaona na kuyasikia Mbeya wakati wa sherehe za Mei Mosi au Sikukuu ya Wafanyakazi ni kujirejeshea huzuni na simanzi mioyoni! Lo! Maandamano yalikuwa marefu yale! Du! Mabango yalikuwa mengi yale, lakini yote yalibeba ujumbe uliofanana. “Tanzania ya…