JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Gari la Katibu Mkuu TALGWU kimeo

*Limenunuliwa kwa Sh milioni 180 *Lilipokatiwa bima nyaraka inaonyesha      limenunuliwa kwa Sh milioni 70   DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Gari analolitumia Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Taifa, Rashid Mtima, kwa ajili ya shughuli…

Bosi NMB ashinda tuzo Afrika

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amepewa tuzo ya CEO Bora wa Mwaka 2022 kwa Benki za Afrika. Mwanamke huyo raia wa Tanzania ametunukiwa tuzo hiyo wakati wa sherehe maalumu…

Wanyama albino wazua gumzo

*Pundamilia, nyati, twiga albino waonekana Tarangire, Katavi *Wananchi wafurahi, wadhani ni kivutio kipya cha utalii *Wataalamu wapinga, wadai kuna tatizo kubwa na la hatari MARA Na Anthony Mayunga Nyati mweupe ameonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na kuwa…

SSP Eva Stesheni: Askari mlinzi wa amani Darfur

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Kwamba amani ni muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu ni suala lisilokuwa na ubishi. Amani ni nguzo ya maendeleo. Bila amani hakuna shughuli zozote za kijamii zinazoweza kufanyika. Bila amani maisha ni…

Taifa Stars kujiuliza kwa Algeria

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, itakuwa na kibarua kizito mbele ya Algeria katika mchezo wake wa pili wa Kundi ‘F’ wa kusaka kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika 2023, Ivory Coast….

Nini anatakiwa kukifanya ‘Mo’?

DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Bilionea na Mwenyekiti wa zamani wa Bodi ya Wakurungezi wa Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji, ameandika katika ukurasa wake wa ‘twiter’: “Tunasafisha kila sehemu ambayo inahitaji kuwekwa sawa ili turudi kwenye ubora wetu #nguvu moja.”…