JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simba yatinga hatua ya makundi Ligi Mabingwa Afrika

Klabu ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa timu ya Primeiro de Agosto ya nchini Angola 1-0 na kuwa jumla ya mabao 4-1 baada ya mechi ya kwanza Simba Sc kushinda 3-1 ugenini….

Majaliwa:Miradi yote iliyoanzishwa itakamilika

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi yote ya kimkakati nchini na kwamba hakuna mradi wowote utakaokwama. Amesema hayo leo Oktoba 16, 2022 wakati alipokagua maendeleo ya…

‘Nawabadilisha mawaziri lakini Biteko yupo’

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika kuisimamia Sekta ya Madini. Rais Samia amempongeza Dkt. Biteko leo Oktoba 16, 2022 wakati akiwasalimu wananchi wa Runzewe…

‘Fanyeni ukaguzi vilabu vya pombe vingi havina maji wala choo’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Kila ifikapo Oktoba 15 ya kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Unawaji Mikono Duniani, lengo likiwa ni kuendelea kujenga ulimwengu wenye afya na kusaidia kupigana vita dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mlipuko. Katika Halmashauri ya Jiji la…

Bodi mpya ya SBT yawaahidi Watanzania neema ya sukari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Moshi Bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) imeliahidi taifa neema ya sukari ndani ya miaka mitatu ijayo huku mwenyekiti wake,Filbert Mponzi, akisema tatizo la upungufu wa bidhaa hiyo sasa linaenda kuwa historia. Mkurugenzi Mkuu…