JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majaliwa atembelea maonyesho viwanja vya Bunge Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kuhusu tiba lishe, mafuta na sabuni zinazotokana na mwani  kutoka Happy Kapinga (kushoto) katika maonyesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Mei 2, 2023. Kulia kwake ni Waziri…

NGOs: Rais Samia amerejesha matumaini ya Watanzania

Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini (NGOs) yamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wa kimageuzi tangu aliposhika madaraka miaka miwili iliyopita, yakisema kuwa Rais Samia amerejesha matumaini ya Watanzania kwenye uchumi, demokrasia na maendeleo ya jamii. Umoja wa Mashirika Yasiyo…

Tanzania yaomba kuwa makao makuu ya AUSC

…….………….. Na Brown Jonas, WUSM Arusha Tanzania ipo tayari na imeomba ridhaa ya kuwa Makao Makuu ya Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika Kanda ya Nne (AUSC) kwa wajumbe wa mkutano wa wataalamu wa michezo kutoka katika kanda hiyo….

Aua wajukuu wake kwa kuwapiga kichwani na mchi wa kutwangia

Polisi mkoani Songwe limemkamata, Aloyce Nyabwanzo (51), mkazi wa kitongoji cha Kikamba,kijiji cha Kapalala Wilayani, Songwe kwa tuhuma za kuwaua wajukuu zake wawili kwa kuwapasua mafuvu ya kichwa na mchi wa kutwangia mahindi na kusababisha ubongo kumwagika. Kamanda wa Polisi…

Katambi afafanua mfumo wa kuwalipa kiinua mgongo wazee

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amesema serikali inazingatia watanzania wote wanaojenga nchi yao na imeweka utaratibu wa kupata pensheni kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa waajiriwa na waliopo kwenye…