JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hatimae historia yaandikwa

Kim Jong-un amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Korea kaskazini kuingi Korea kusini tangu kumalizika kwa vita vya Korea mwaka 1953 na kuandika historia mpya baina ya mataifa hayo mawili. Kim katika mkutano huo aliandamana na maafisa tisa , ikiwemo dadake…

Bomu la watu laja Afrika – 3

Na Deodatus Balile Kwa wiki ya tatu sasa nafanya mapitio ya kitabu kiitwacho “Making Africa Work”. Tafsiri isiyo rasmi jina la kitabu hiki linamanisha “Mbinu za Afrika kujikwamua kiuchumi.” Kitabu hiki kimeandikwa na Greg Mills, Olusegun Obasanjo (Rais mstaafu wa…

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA IRINGA-DODOMA KATIKA SEHEMU YA IRINGA-MIGORI-FUFU KM 189 ILIYOKAMILIKA KUJENGWA KATIKA KIWANGO CHA LAMI

                                                                               …

Yah: Naamini wengi wetu ni bendera fuata upepo

Kuna wakati niliwahi kuandika barua mahususi katika uga huu, nikijaribu kuelezea madhara ya watu kuiga mambo na kushabikia bila kujua kile ambacho wanaiga kina madhara gani, wapo waigaji wa mambo bila kujua labda wanakoiga wanaigiza na siyo uhalisia. Mimi ni…

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari kuwa kiongozi wa kwanza wa Afrika kulakiwa na Donald Trump Marekani

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari atakuwa kiongozi wa kwanza wa taifa la kutoka bara Afrika kulakiwa na Rais wa Marekani Donald Trump White House atakapokutana na kiongozi huo kwa mashauriano rasmi mjini Washington baadaye leo. Marais wengine wa Afrika wamewahi…