Latest Posts
Kamali hatari kwa wanafunzi
Michezo ya kamali hapa nchini licha ya kuwa inaendeshwa kwa mujibu wa sheria chini ya usimamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), imeendelea kuathiri taifa kwa namna mbalimbali hasa vijana. Nitakijikita kwa wanafunzi ambao ndio tegemeo la taifa…
Migogoro ya TANAPA, vijiji 390 kuwa historia
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), Dk. Allan Kijazi, amezungumza na JAMHURI kuhusu mafanikio yaliyopatikana kwa kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Tano. Ifuatayo ni sehemu ya pili ya mahojiano ya Dk. Kijazi…
Vigogo wahatarisha mradi mabasi ya mwendokasi
Msongamano wa abiria wanaotumia usafiri wa mabasi ya haraka jijini Dar es Salaam maarufu kama (mwendokasi) kwa kiasi kikubwa unatokana na uzito wa kufanya uamuzi miongoni mwa watendaji serikalini. Hali ya kuchelewa kufanya uamuzi inakinzana na kasi ya Rais Dk….
Huduma ya maji kumfikia kila mwananchi
Kazi zinaendelea na Wiki ya Maji 2019 imekamilika. Kitaifa Wiki ya Maji imeadhimishwa jijini Dodoma kwa wataalamu na wadau wa sekta hii muhimu kukutana na kuangalia namna bora zaidi ya kufanikisha huduma muhimu ya majisafi na salama inawafikia wananchi bila…
Ndugu Rais ni kweli Mtwara kuchelee?
Ndugu Rais, kwa urais wako nchini mwetu wewe ndiye baba wa sisi wote. Mwisho ni mwaka 2020 au mwaka 2025 au labda hata kuendelea, nani anajua? Marehemu mama yangu alikuwa ananiambia: “Umwenzo wa mtu inkama.’’ Maana yake: “Moyo wa mtu…
Tunaweza kutofautisha Ujamaa na uamuzi wa busara
Mwaka 2014 nilisafiri kwa ndege nikakaa pembeni mwa abiria raia wa Kenya, ambaye alibaini nilikuwa nikisoma kitabu kimojawapo cha hotuba za Mwalimu Nyerere. Alisema: “Nasikia Nyerere aliiharibu sana nchi kutokana na itikadi yake ya Ujamaa?” Katika umri wangu nimeshasikia kwa…


