Latest Posts
Kuelekea Uchaguzi 2020 Majimbo kufutwa
*Maandalizi ya mabadiliko makubwa yaanza *Mapendekezo ni halmashauri ziwe majimbo *Viti Maalumu navyo kupitiwa na marekebisho *Malengo ni kuleta tija na uwakilishi makini DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Mabadiliko makubwa ya sheria yanapendekezwa, yakilenga kupunguza idadi ya majimbo, wabunge…
Maskini Jacana yetu Dodoma…!
Baada ya kustaafu utumishi wa umma, Mpita Njia au maarufu kama MN, amekuwa na fursa nzuri ya kutembea huku na kule kujionea fahari ya nchi. Anajua wapo wanaoweza kumuuliza wapi anakotoa fedha za kumwezesha kufanya utalii wa ndani ilhali ka-pensheni…
SERENGETI BOYS DIMBANI TAIFA LEO
Michuano ya vijana walio chini ya miaka 17 inayoendelea kutimua vumbi jijini Dar es salaa kufuzu fainali za Afcon leo Tanzania (Serengeti Boys ) watakuwa dimbani dhidi ya Rwanda (Amavubi Junior )vijana wa Kagame katika mchezo ambao utatoa matokeo ya…
ACT Wazalendo wamtaka Museveni amuachie ‘Bobi Wine’
Chama cha ACT-Wazalendo kimemuandikia barua ya wazi Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kikimtaka amuachie Mbunge Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) na wabunge wengine wanaoshikiliwa na Polisi. Kimemtaka Rais Museveni kuweka mbele haki za binadamu kuliko maslahi yake yanayohusiana na siasa na…
Ronaldo, Modric, Salah Vitani Mchezaji Bora, Messi, Mbappe Waenguliwa
Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya Nyota wanaoshindania tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya UEFA kwa mwaka 2017/2018 ambao ni Cristiano Ronaldo wa Juventus, Luka Modric wa Real Madrid na Mohammed Salah wa Liverpool. Hii ni baada ya kufanya mchujo…