Latest Posts
Simba na Yanga zatahadharishwa
NA MICHAEL SARUNGI Ushindi wa klabu za Simba na Yanga katika mechi za kimataifa zilizocheza haziwezi kuwa kipimo cha ubora wao katika mashindano hayo ya kimataifa kutokana na udhaifu uliooneshwa na wapinzani wao, badala yake wanapaswa kujitathmini kabla. Wakizungumza na…
Wazee amkeni, simameni mseme
Ubaguzi katika nchi yetu umeanza kushamiri. Hatuhitaji mwalimu wa kutuweka darasani kutufundisha kulibaini tatizo hili. Kauli zinazotolewa na baadhi ya watawala (siyo viongozi), akiwamo Mkuu wa Mkoa wa Manyara, zimeanza kuzaa matunda. Sote tunatambua kuwa AMANI ni zao la HAKI….
Musoma Vijijini inateketea (1)
Na Dk. Felician Kilahama Kwanza nianze makala hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye kwa mapenzi yake ametujalia zawadi ya uhai mpaka tukaweza kuufikia mwaka 2018. Ni mwaka wa matumaini, lakini pia umeanza kwa baadhi ya maeneo nchini mwetu kugubikwa na…
CCM yashinda Siha, Kinondoni “Zaidi ya wapiga kura laki tatu wasusia”
*Zaidi ya wapiga kura laki tatu wasusia DAR ES SALAAM NA WAANDISHI WETU Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi, katika uchaguzi mdogo uliofanyika katika majimbo ya Siha na Kinondoni, wameibuka washindi. Jimbo la Siha, Dk.Godwin Mollel ametangazwa mshindi, huku Kinondoni akitangazwa…
ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ILEMELA NA NYAMAGANA. MKOANI MWANZA
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ilemela na Nyamagana wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza Sehemu ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ilemela na Nyamagana wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim…