JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mheshimiwa Kairuki uhakiki haujakamilika

Mwishoni mwa juma lililopita, Rais John Magufuli, alipokea taarifa ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma wakati wa hafla iliyofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma. Ropoti iliwasilishwa kwake na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma…

Dua zetu kwa Serengeti Boys

Timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imeendelea na maandalizi ya mashindano ya AFCON yanayotarajiwa kuanza Jumapili ya wiki hii, huko Gabon. Katika maandalizi ya kuelekea katika mashindano hayo, timu hiyo imeshinda michezo mitatu mfululizo, imeshinda…

‘Bureau de Change’ zafungwa Dar

Vyombo vya dola vimefunga maduka kadhaa ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) jijini Dar es Salaam, yanayohusishwa na utakatishaji na usafirishaji fedha zinazotokana na biashara ya dawa za kulevya. Vyanzo vya habari vya uhakika vimelithibitishia JAMHURI kuwa tayari maduka matano…

Dk. Shein akomboa elimu Z’bar

Ni jambo lisilokuwa na ubishi kuwa elimu ndicho chanzo muhimu kabisa kitakachomletea maendeleo na ukombozi wa kweli wa  mwanadamu, elimu inawatoa wanadamu katika gugu la ujinga. Umuhimu wa elimu umeelezwa kwa kina katika vitabu ya dini na katika vitabu vingine,…

Mgogoro wa ardhi Mtwara

Mgogoro wa ardhi mkoani Mtwara umechukua sura mpya baada ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo, Albert Mbila, kujitoa lawamani kwa kusema suala hilo halikuwa na mkono wake.  Mbila anatajwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ufuatiliaji wa Mgogoro wa Ardhi…

Uhuru wa Habari uheshimiwe

Kesho, Mei 3 waandishi wa habari Tanzania wanaungana na wenzao duniani kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani. Ilianza kuadhimishwa rasmi na Umoja wa Mataifa (UN) kutokana na tamko la Windhoek, lililotolewa na waandishi wa Afrika kutetea uhuru…