Latest Posts
Nyenzo muhimu ya kuongeza kasi ya maendeleo ni kurudi kijijini
Katika siku za hivi karibuni, nimekuwa nakumbuka wimbo niupendao wa gwiji la muziki, Ramadhani Mtoro Ongala ‘Dk Remmy’, ‘Narudi nyumbani’. Aliimba kuwa anarudi Songea, anarudi Mlale, anarudi kijijini kwa sababu maisha ya Dar es Salaam yamemshinda, akikiri kuwa nyumbani ni…
Siku sita za kupanda Mlima Kilimanjaro
Wakati Rais John Magufuli akikagua gwaride la maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru, kundi la wanahabari, askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na wanadiplomasia walikuwa kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Safari hiyo ilianza mapema Desemba…
Waamuzi soka wajengewe uwezo
Soka la Tanzania linakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwamo tatizo la waamuzi ambalo limekuwa likilalamikiwa na wadau na wanachama wa klabu zinazoshiriki Ligi kuu ya Tanzania Bara. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti mara baada ya kuhitimu mafunzo ya muda mfupi…
Bandari kwafumuliwa
Katika kinachoonekana kuwa nia ya kuisuka upya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Serikali chini ya uongozi wa Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Injinia Deusdedith Kakoko, imefumua muundo wote wa uongozi kwa kufukuza Wakurugenzi sita, wafanyakazi 42 na kuwashusha vyeo…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 25
TRA ina mianya ya rushwa 474. Idara hizi hukusanya asilimia 70 – 73 ya mapato yote ya Serikali Kuu yanayotokana na kodi mbalimbali. Hali ya ukusanyaji kodi katika idara hizi kwa kipindi cha miaka mitano imeonyeshwa katika kiambatisho…
‘Majangili’ 3 mbaroni Arusha
Watu watatu, wamekamatwa mkoani Arusha wakiwa na vipande 16 vya pembe za tembo. Wawili kati yao wanatoka jamii ya Kimaasai ambayo kwa miaka mingi ilijulikana kuwa ni wahifadhi wazuri. Taarifa kutoka Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha zimewataja watuhumiwa hao…