Latest Posts
Barua ya Tundu Lissu kwa Rais Magufuli
Mheshimiwa John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu, Dar Es Salaam Agosti 30, 2018 UTANGULIZI Mheshimiwa Rais, Nakusalimu kutoka Leuven, Ubelgiji ninakoendelea na matibabu. Naomba pia upokee salamu zangu za rambi rambi na pole kwako wewe…
Ndugu Rais, kwanini Mkenya afe sababu ya uchaguzi?
Ndugu Rais, wakati mwingine ninapoandika moyo wangu hujaa simanzi kuzidi uwezo wa kifua changu kuihimili. Huacha kuandika na kwenda ukutani ilipo picha tuliyopiga mimi na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, nyumbani kwake Msasani. Moyoni huiambia ile picha, “Baba,…
Makonda maji shingoni
*Kauli ya Rais Magufuli yazima ‘kiburi’ chake nchini *Sh bilioni 1.2 makontena kaa la moto, akilipa linammaliza *Wasema sasa ni ‘zilipendwa’ , wakumbushia vituko vyake *Askofu Gwajima asisitiza alikwishamfuta katika uliwengu wa siasa Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam Mkuu…
TUZO ZA AMVCA NIGERIA YATAWALA, KENYA YASHINDA TUZO 6 TANZANIA IKITOKA KAPA
Wakenya wameshika nafasi ya pili kutawala katika tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards maarudu kama (AMVCA) zilizomalizika hivi punde hapa jijini Lagos, Nigeria. Wakenya wameshinda tuzo sita kati ya nane walizokuwa wakiwania na kuwapiga kumbo Watanzania kw aupande wa Afrika…




