Latest Posts
Kuzuia gongo ni kuenzi ukoloni
Wananchi makabwela wapika gongo wamezoea kuwakimbia polisi na viongozi wa dola. Si jambo la kawaida kwa wananchi wanaojihusisha na shughuli hiyo kuwa kwenye hali ya amani pindi wanapozingirwa na hao wakubwa ambao mara zote huwa pamoja na mgambo, polisi na…
Tume Huru ya Uchaguzi nchini (2)
Narudia kutamka kuwa tangu Watanzania tuwe huru mwaka 1961 (Tanganyika) na mwaka 1964 (Zanzibar) tumefanya uchaguzi kitaifa kila baada ya miaka mitano na kuwapata viongozi bora katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani. Chombo kilichofanya uratibu, usimamizi na uendeshaji wa uchaguzi…
Yah: Usiku wa deni haukawii kucha, corona jamani!
Nimewahi kudaiwa sana katika maisha yangu, na mara nyingi tamati ya usiku wa deni huwa kama saa inajikimbiza yenyewe. Hapo ndipo ninapokumbuka madeni mengi ambayo yamewahi kuniumiza sana kichwa, hasa yale ambayo nilikopa kwa ajili ya matumizi ambayo si ya…
Mafanikio katika akili yangu (22)
Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Si nilikwambia mama, Noel watu mpaka sasa wanamkumbuka, nimetoka kuongea na mkurugenzi wa redio anamuulizia.’’ Mama yake akasimama na kuanza kumsikiliza Zawadi. “Heee! Si alimfukuza?’’ alishangaa Mama Noel. Tumaini lilikuwa limemjia mama yake…
Usanii uendane na ubunifu, tusiige kila kitu
Kwa sasa taifa limekuza vipaji vya usanii, hasa wa muziki. Vijana wamebuni muziki unaojulikana kama muziki wa kizazi kipya. Huu ni aina ya muziki ninaoweza kusema una mambo tofauti na muziki tuliokuwa nao miaka ya nyuma. Ni muziki unaokwenda kwa…
Corona ‘yakamata’ burudani
Si masuala ya uchumi na kijamii tu ambayo yameathiriwa na kuibuka kwa virusi vya corona (COVID-19) duniani, kwani hata masuala ya michezo na burudani nayo yameathirika kwa kiasi kikubwa. Kuibuka kwa ugonjwa huo ulioanza nchini China mwishoni mwa mwaka jana…





