Latest Posts
Asante sana Lukuvi, wengine wakuige
Wahenga walisema: “Tenda wema nenda zako.” Wahaya na Wanyambo wanasema: “Ekigambo kilungi kigambwa.” Nao Wahehe wanasema: “Uwema kigendelo” au “Utende wema ubitage”; na kadhalika. Sasa ni miezi minne tangu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (pichani),…
Kortini kwa ‘kula’ fedha za Uchaguzi Mkuu
Maofisa wa halmashauri za wilaya nchini waliosimamia Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2015 wameanza kuchunguzwa kwa matumizi mabaya ya fedha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema baadhi yao wamekwisha kufunguliwa mashitaka wakituhumiwa kuandaa nyaraka…
Mtoto wa miaka miwili afariki baada ya kujipiga risasi Texas, Marekani
MAREKANI : Mtoto wa umri wa miaka miwili nchini Marekani amefariki baada ya kujipiga risasi kichwani kwa bunduki ambayo imekuwa ikihifadhiwa na wazazi wake nyumbani kwao. Polisi wa Houston, Texas wanasema wazazi wa mtoto huyo – Christopher Williams Jr –…
Tume anayoitaka Mke wa Bilionea Erasto Msuya iundwe
Upande wa Mashtaka katika kesi ya mauaji inayomkabili mke wa marehemu Bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita (41), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa jalada la kesi hiyo lipo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini(DPP) analifanyia kazi. Wakili wa Serikali Mwandamizi,…
Maharamia watamba Rorya
Wizara ya Fedha imeombwa ipeleke boti wilayani Rorya, Mara ili kukabiliana na maharamia katika Ziwa Victoria. Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Simon Chacha, amesema matukio ya uvuvi haramu na biashara ya magendo vinashamiri Ziwa Victoria upande wa Rorya kutokana na…
Sunny Safaris waishi kwa bahshishi
Wafanyakazi 23 wa Kampuni ya Utalii ya Sunny Safaris ya jijini Arusha, wamelalamikia uongozi wa kampuni hiyo kwa kufanya kazi bila mikataba na kunyimwa mishahara kwa miaka miwili. Wanadai kuwa uongozi wa kampuni hiyo umekuwa ukiwafanyisha kazi kwa saa nyingi…





