Latest Posts
Asante mbabe, Watanzania tumekusikia – 2
Wiki iliyopita nilizungumzia tamko la serikali ya Marekani kupitia Shirika lake Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), la kukata msaada wa dola milioni 472.8 za Marekani sawa na shilingi trilioni moja kwa Serikali ya Tanzania katika miradi ya mfuko huo…
Rekodi inaitafuna Yanga
Hakuna ubishi kwamba baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa mkondo wa kwanza, hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga imejitengenezea ugumu mchezo wa marudiano. Yanga inatarajiwa…
Mikopo yaponza wabunge
Hatua ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya kuwafikisha wabunge wanne mahakamani kwa tuhuma za kuomba rushwa, uchunguzi wa JAMHURI umebaini kuwa mikopo waliyochukua wabunge kutoka benki mbalimbali nchini imegeuka mwiba kwao. Taarifa za benki mbalimbali na…
Sumaye ahusishwa ‘uporaji’ kampuni
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Sincon, Peter Siniga amemwandia barua Rais Dk. John Magufuli akimtaka kuingilia kati sakata la dhuluma dhidi yake iliyodaiwa kusukwa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye. Barua yenye Kumb. Na. SN/PRE/2015/11/01 kwenda kwa Rais Dk. Magufuli…
Mwalimu Nyerere wadanganya umma
Kwa wiki mbili zilizopita gazeti hili la JAMHURI, limechapisha taarifa za upungufu mkubwa na matatizo mbalimbali yaliyoko katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, zamani kikijulikana kama Chuo cha Siasa Kivukoni. Miongozi mwa habari zilizochapishwa na JAMHURI, ni pamoja na…
Tufungie mlango misaadaa ya wahisani
Zimepita wiki tano bila mimi kuandika safu hii ya SITANII. Nilikuwa na jukumu zito la kuuhabarisha umma juu ya mbinu za aina yake zinazotumiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL Group) kuepuka kodi. Katika habari hizo nimefanya uchunguzi wa kina…