JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Magazetini Leo, Agosti, 27, 2018

Good Morning Mtu wangu wa nguvu !! kutoka DSM Tanzania leo August 27, 2018 nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.

WAKILI Jeremiah Mtobesya aliyekuwa akiwawakilisha Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake nane wa chama hicho, amejitoa kwenye kesi hiyo leo Agosti 23 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri. Mtobesya amejitoa katika kesi…

WASANII ASLEY , SHILOLE WASAINI NA TTCL KUNOGESHA KAMPENI YA RUDI NYUMBANI KUMENOGA

  Mkurugenzi Mkuu wa TTCL Bw. Waziri Kindamba (kulia) akibadilishana hati ya mkataba na msanii Zuena Mohamed maarufu kama Shilole ‘Shishi Baby’ (kushoto), mara baada ya kusaini mkataba huo. Mkataba huo ambao pia msanii Asley Isihaka maarufu kama Dogo Asley…

Upinzani Kongo – DRC kusimamisha mgombea mmoja

Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) vinakamilisha utaratibu kumteua mgombea mmoja watakayemkabidhi jukumu la kupeperusha bendera katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini humo Desemba 23, mwaka huu. Kiongozi wa Chama cha UDPS, Felix Tshisekedi, Vital Kamerhe…

Maajabu ya mji uliozama baharini kisiwani Mafia

DAR ES SALAAM NA JUMA SALUM Awali ya yote naomba nikuhakikishie ndugu msomaji kuwa hii si hadithi ya kusadikika au tuseme ni stori ya kutunga, hii ni habari ya kweli ambayo haikujulikana kwa miaka mingi na kwa watu wengi. Kutojulikana…