JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baadhi ya mila na desturi tunazozitupa zina manufaa kwa jamii

Jambo moja la msingi linalopambanua binadamu ni mila zao. Wanaweza kufanana kwa mwonekano, lakini utawatofautisha kwa mila na desturi zao. Nimeyawaza hayo baada ya kusikia hivi karibuni taarifa kuwa, kwa mara ya kwanza, seneta mwanamke nchini Australia amekuwa mbunge wa…

Maombi kwa Kamishna wa Ardhi kuweka zuio

Transfer ni kubadilisha hati au leseni ya makazi kutoka jina la mmiliki wa awali kwenda kwa mmiliki mpya. Transfer inaweza kufanyika kutokana na mauzo, kupewa zawadi, fidia, n.k. Kwa hiyo, kuzuia transfer ni kuzuia kubadilishwa kwa hati kutoka mmiliki wa…

Ujasiri wa leo ni tumaini la kesho

Ujasiri wa leo ni tumaini la kesho, hebu fumbua macho yako uone. Mungu anakuonesha mamilioni ya fursa siku ya leo. Mwandishi Robinson Maria anasema, hakuna anayeweza kurudi nyuma na kuanza mwanzo mpya, lakini yeyote anaweza kuanza leo na kutengeneza mwisho…

Tukatae mamluki soka

Kuvamiwa kwa mchezo wa soka na mamluki katika ngazi ya klabu na timu za taifa ni miongoni mwa sababu zinazochangia kudorora kwa mchezo huo nchini. Akizungumza na JAMHURI, mchezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania,…

Loliondo tena

Mkakati mahsusi umeandaliwa na raia wa kigeni kwa ushirika na taasisi mbili zisizo za kiserikali (NGOs) za hapa nchini, ukilenga kuichafua Serikali kupitia mgogoro wa ardhi katika Pori Tengefu la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha, JAMHURI limebaini. Raia wa Uingereza na…

Nani kasema Bodi ya Wakurugenzi Acacia ndiyo timu yao ya majadiliano?

Tutofautishe timu ya majadiliano na Bodi ya Wakurugenzi ya kampuni. Kawaida timu ya majadiliano haiundwi na wakurugenzi wa kampuni, bali wakurugenzi wa kampuni ndio huwa wanateua watu wa kuunda timu ya majadiliano na hao walioteuliwa huripoti matokeo ya majadiliano kwa…