Latest Posts
Serikali: Jengeni nyumba za kupangisha Dodoma
DODOMA NA EDITHA MAJURA Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mwasiliano, Elias Kuandikwa, ametoa wito kwa wenye uwezo wa kujenga nyumba za kupangisha, kufanya hivyo mkoani Dodoma ili kusaidiana na serikali katika kuwapatia makazi bora, wanaohamia kutokana na utekelezaji hatua ya…
Amlawiti binti, mahakamani majaliwa
DODOMA EDITHA MAJURA Mwanafunzi wa Darasa la Nne, anayesoma shule iliyopo Kata ya Nzuguni, (majina yanahifadhiwa kimaadili) amekuwa akilawitiwa na mwendesha pikipiki, maarufu kama bodaboda tangu mwishoni mwa mwaka jana hadi mwaka huu, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Taarifa hizi zinaibuka…
Martine Luther: Ubaguzi
1. “Naota mambo yajayo, kwamba siku moja watoto wangu wanne watakaa katika nchi ambayo hawatapambanuliwa kwa sababu ya rangi yao bali kwa sababu ya tabia na mwenendo wao” Maneno hayo yalipata kunenwa na Matin Luther King Junior, mwaka 1963. Mandela:…
Tanzania iongeze kasi ukuaji uchumi – 2
Na Frank Christopher Katika makala iliyopita Toleo Na 335 mwandishi alieleza misingi ya ukuaji uchumi kwa taifa lolote duniani, ambayo Tanzania haiwezi kuikwepa. Leo tunakuletea sehemu ya pili ya makala hii ya kiuchumi inayodadishi mfumo, mkondo, faida na hasara zinazotokana…
Watoto wanahitaji ulinzi wetu
Na Alex kazenga. Wiki iliyopita mitandao yakijamii ilitawaliwa na video fupi ikimuonyesha mtoto mdogo mwenye umri kati ya miaka 5 akielezea jinsi alivyo toa taarifa kituo cha polisi na kufanikiwa kumzuia baba yake kuuza shamba la familia. Video hiyo fupi…
ADHANA IMEPIGWA MARUFUKU KIGALI RWANDA, INASUMBUA WANANCHI
Marufuku ya matumizi ya adhana{ Wito kwa Waislamu kuhudhuria maombi} katika tarafa moja ya mji wa Kigali nchini Rwanda imepingwa vikali na baadhi ya Waislamu jijini humo. Utawala katika tarafa ya Nyarugenge kunakopatikana jamii kubwa ya Waislam nchini humo umebainisha…





