JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Iran kumchapa Trump

*Rais, majenerali wawili, Ayatollah wampa onyo kali *Wajipanga kwa vita kuiteketeza Marekani kila kona *Maninja waanza mazoezi jangwani, wadai wao si Korea *Uingereza, Ufaransa, China, Urusi, Ujerumani wamgomea TEHERAN, IRAN Wasiwasi umetanda duniani baada ya Jeshi la Iran kumpa onyo…

JWTZ watanda Mirerani

*Sasa hakuna kutorosha jiwe nje ya uzio *Wazalendo furaha, wakwepa kodi kilio SIMANJIRO NA MWANDISHI WETU Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokewa kwa shangwe kwenye dhima yake mpya ya kulinda migodi ya tanzanite, Mirerani mkoani Manyara. Uwepo…

TFF YAINGIA MKATABA NA BENKI YA KCB KUDHAMINI LIGI KUU BARA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) na Benki ya KCB wamesaini mkataba wa kudhamini Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2018/19 wenye thamani ya shilingi Milioni 420. TFF wamefikia makubaliano hayo KCB baada ya wadau mbalimbali kuanza kuhoji juu…

Magufuli Ateua Wakuu wa Wilaya Wapya

  Rais Magufuli amemteua Jokate Mwegelo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Aidha, amemteua David Kafulila kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe Rais Magufuli amemteua Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na Patrobas Katambi kuwa Mkuu wa…

Mbunge WAITARA wa CHADEMA Ahamia CCM

MBUNGE wa Chadema Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara amekihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM). Waitara amesema sababu ni kutofautiana na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe baada ya kumhoji kwa nini chama hicho hakifanyi uchaguzi wa mwenyetiki…