JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

WALLANCE KARIA APIGA MARUFUKU MASHINDO YASIYOTAMBULIKA NA TFF

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amefuta mashindano yoyote ya soka yaliyo nje ya mfumo wa shirikisho hilo isipokuwa tu kwa kibali maalum. Karia ameyasema hayo katika Mkutano wake na Wahariri wa vyombo vya habari ambapo amesema…

Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 28, 2017

Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Alhamisi Disemba, 28, 2017 nimekuekea hapa

The Debate Over Interesting If you genuinely desire to connect with your audience at a level of attention and participation, you will have to be in a position to link to them. Interesting men and women, paradoxically, listen a whole…

SERIKALI YAWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWASILISHA MALI ZAO NDANI YA MWAKA HUU

KAMISHNA wa Maadili Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu, Harold Nsekela, amesema sheria ya maadili ya viongozi wa umma kupitia kifungu cha 9 (1) (b) inamtaka kiongozi wa ummma kila ifikapo mwisho wa mwaka kupeleka kwa kamishna…

MWALIMU NYERERE: MAENDELEO NI KAZI

Hotuba ya Rais wa Chama, Mwalimu Julius K. Nyerere, Kwenye Mkutano Mkuu wa TANU wa 16. Waheshimiwa sasa ningependa kuufungua Mkutano wetu rasmi. Nasema katika ufunguzi huu kazi yangu kwa leo itakuwa, asubuhi hii, ni kuwasilisha kwenu Taarifa ya mambo…

Turejeshe Rasilimali za Umma Pasipo Migogoro

Tangu ilipoingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, 2015, Serikali ya Rais John Magufuli imefanya uamuzi mgumu unaohusu kurejesha mali za umma zinazodaiwa kuhujumiwa pasipo kujali maslahi mapana ya nchi. Ipo orodha ndefu ya matukio yanayodhihirisha kufikiwa kwa…