JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Magufuli unaposonga mbele ukumbuke kuangalia tulikotoka

‘Jihadhari na ufumbuzi unaozalisha tatizo jipya’   Napenda Rais John Magufuli afanikiwe kisiasa na kiutawala, napenda aandike historia kama alivyoahidi aliposema na wahariri kwenye mkutano wake wa Novemba 4, 2016 pale Ikulu.  Hata hivyo, kupenda peke yake na kumtakia mema…

Castro kisiki cha mpingo

Historia hutokea, na watunza kumbukumbu huziandika. Mbunge (sasa marehemu) wa Ulanga Mashariki (CCM), Theodos Kasapila, kila lilipotokea jambo kubwa alikuwa akisema; “Haijapata kutokea”. Hakika ni vyema na haki, nikiazima maneno ya Kapteni Kasapila kusema Fidel Castro, aliyekuwa Rais wa Cuba,…

Buriani Castro, wajamaa watakukumbuka

Tawala za kijamaa zilianguka kote duniani, lakini Castro aliendelea kupeperusha bendera nyekundu karibu na maadui wake wakubwa, Marekani. Kiongozi huyo mwenye utata alisifiwa na wafuasi wake kama kiongozi wa ujamaa, askari mwanasiasa ambaye aliirejesha Cuba mikononi mwa watu. Lakini alikabiliwa…

Ndugu Rais wasipokemewa hawa vijana taifa linaangamia!

Ndugu Rais maandiko yanasema katika nchi yoyote hapa duniani, wenye hekima na busara wakinyamaza, wapumbavu na wajinga huongezeka na nchi ikaangamia! Kwa udhaifu wake mwanadamu anajiuliza, kwanini basi katika kuumba ulimwengu Mungu aliumba na wajinga na wapumbavu na akawaweka katika…

Marekani kubadili sheria ya uchaguzi

Serikali ya Kenya ilitangaza hivi majuzi kuwa inaahirisha kwa muda wa miezi sita uamuzi wake wa kuifunga kambi ya wakimbizi ya Daadab iliyo karibu na mpaka wake na Somalia.  Hapo awali Kenya iliamua kuanza kuifunga kambi hiyo mwishoni mwa Novemba…

“Demokrasia siyo mchezo wa kutazamwa tu”

Katika uchaguzi wa Urais kule Marekani mwaka huu 2016, mjini Pheledaphia kulikuwa na zomeazomea wakati Chama cha Democrats kikimteua Hillary Clinton kuwa mgombea Urais wake. Rais Obama alisema hivi, “Don’t boo, vote” you’ve got to get in the arena …because…