JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wanaomnyooshea kidole Lowassa wamechelewa

Mwaka mmoja nyuma  kabla ya vuguvugu hili la Uchaguzi Mkuu kupamba moto,  niliandika makala iliyokuwa na kichwa cha habari ‘Ninachompendea Lowassa ni hiki’. Kusema ukweli makala hiyo ilinipa nafasi kubwa ya kuzielewa vizuri siasa za nchi yetu na hasa Afrika…

Septemba 11: Tukio lisilosahaulika Marekani

Dunia imetimiza miaka 14 tangu kutokea mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa na Al-Qaeda. Mashambulizi hayo yalitokea saa 2:00 asubuhi Jumanne, Septemba 11, 2001 ambako watu 19 waliokuwa ndani ya ndege nne za kuvuka mabara (Trans – Continental Flights) kuziteka na kuzigeuza…

Kosa la Dk. Magufuli ni kusimamia sheria?

Nimesoma makala ya rafiki na kaka yangu Joster Mwangulumbi, iliyokuwa na kichwa cha habari: “Yako mengi tunayopaswa kuyatafakari”. Makala hiyo fupi, lakini kali, inamhusu mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. Aya moja inasema: “Rais Kikwete na…

Vitimbwi vya Uchaguzi Mkuu 2015

Kipenga cha uchaguzi kimepulizwa tangu Agosti 21, 2015 na refa ni Tume ya taifa Uchaguzi (NEC).  Kuanzia tarehe ile wachezaji wote ambao ni vyama vya siasa wamepaswa kucheza mchezo huu yaani kuandaa sera zao kwa wananchi kulingana na sheria ya…

Tukifanya makosa, ndoto za mabadiliko zitatoweka!

Katika kipindi kifupi tu tumeshuhudia kwa kiasi kukubwa Watanzania wakiimba wimbo wa mabadiliko. Wimbo huu unaimbwa na wanasiasa. Kinachonipa ukakasi kutokana na neno hilo ‘mabadiliko’ kutawala katika vijiwe, mikutano ya hadhara na hata katika majukwaa makubwa yanayotumika kusaka kura kwa…

Yah: Dakika zinayoyoma, sera zinauzika, kazi kwa wapambe

Kama ingelikuwa ni mashindano ya mpira, basi tungesema kipindi cha mapumziko kimeshapita na kipindi cha pili kinaelekea kwisha, pambano halihitaji kupigiana penalti mshindi lazima apatikane kwa matokeo yoyote. Wachezaji wote wanatumia nguvu zao zote na kuangalia makosa madogo ya wachezaji…