Latest Posts
Yah: Uhuru wa kuamua kutokana na maslahi au matakwa binafsi
Kweli nimeamini kama hawa Watanzania wakipata ufunuo wa kutumia demokrasia yao ya kutoa uamuzi, basi wanaitumia kama ipasavyo. Leo wanaweza wakaamua kitu kutokana na mazingira na kesho wakabadilika kutokana na mazingira shirikishi, hii ndiyo demokrasia iliyopo sasa bila kujali kama…
‘Tuchagulieni kiongozi safi’
Wiki iliyopita nilizungumzia juu ya maana na sababu za kutaka mabadiliko. Hivi sasa Watanzania na hasa vijana wanataka sana mabadiliko na huku wakinukuu sehemu tu ya hotuba ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyoitoa kwa wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu…
Tujiandae kujenga jela mpya
Nimewahi kuandika kwenye safu hii kuhusu hitilafu ambazo nimeziona kwenye Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015. Zipo taarifa kuwa sheria hii sasa itaanza kutumika Septemba mosi, mwaka huu. Kama unayo hofu niliyonayo mimi utakubaliana nami kuwa wapo watu wengi wataathirika…
Ikitokea umekufa leo, biashara zako unaziachaje?
Nianze kwa habari njema. Nimeandika kitabu cha pili kiitwacho ‘Kufanikiwa ni haki yako.’ Ni kitabu ambacho kimebeba maarifa, visa vya kusisimua na mikasa kuhusu safari za maisha ya mafanikio ya watu mbalimbali waliofanikiwa duniani. Kwa mfano, katika kitabu hiki ninakuletea…
Makocha hawa Wazungu kunogesha Ligi Kuu Bara
Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom nchini linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 22, mwaka huu kwa mechi ya Ngao ya Hisani kati ya Azam na Yanga, na Septemba 12 ndiyo mechi za msimu wa Ligi 2015/2016 zitaanza rasmi. Mabadiliko mengi yamefanyika…
Majimbo 130 ya Ukawa haya hapa
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), imetamba kuwa na uhakika wa kuunda Serikali zijazo kwa kupata wabunge zaidi ya 130 kati ya 264 ya Tanzania nzima. Hayo yamethibitishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo…