JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ahadi ya Waziri Nyalandu kwa Wakenya yawaponza Watanzania

 

Kama si mfuatiliaji wa mambo unaweza kuamini kuwa Wakenya wamekurupuka kuyazuia magari ya Watanzania kubeba abiria kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya.

Waziri afagilia ‘JAMHURI’ wa akisimamia bomoabomoa

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene, Alhamisi iliyopita alishindwa kuzuia hisia zake, pale alipolipa sifa Gazeti la JAMHURI huku akisimamia ubomoaji wa mgahawa uliojengwa katika eneo la wazi jijini.

Sadifa atangaza vita dhidi ya Maalim Seif

 

.Amtuhumu kuwa ni kibaraka wa Waarabu

.Adai Seif akipewa nchi, ataiuza asubuhi

.Rais Dk. Shein amsifu Sadifa hadharani

.CUF waijia juu Polisi, wadai Sadifa ni…

 

 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Khamis Sadifa Juma, ametangaza hadharani vita ya kupambana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad.

Lowassa amtesa JK

Waanza zengwe la tatu bora
Kinana akata mzizi wa fitina

 

 

Taarifa kuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, huenda akaenguliwa iwapo atatangaza nia na kuchukua fomu kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zimezidi kushika kasi.

Wataka Mahakama Maalum ya dawa ya kulevya

Baadhi ya wanasheria, viongozi, wananchi na watumiaji wa dawa za kulevya wamependekeza kuanzishwa kwa Mahakama Maalum ya Dawa za Kulevya wakiamini kuwa itapunguza tatizo hili nchini, ingawa baadhi ya viongozi wamesema uadilifu ni zaidi ya Mahakama Maalum, gazeti la JAMHURI limebaini.

Iddi Azzan afunguka

• Aeleza alivyohusishwa na uuzaji wa ‘unga’
• Ataka wasambazaji wahukumiwe kifo
• Afafanua utajiri wake, asema bila kazi huli
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan, amezungumzia kwa mara ya kwanza tuhuma zinazotolewa dhidi yake kuwa yeye ni muuzaji mkubwa wa dawa za kulevya nchini. Yafuatayo ni mahojiano kati ya Mbunge huyo na JAMHURI yaliyofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.