Latest Posts
Ujangili Ruaha umepungua, haujakwisha
Alhamisi Oktoba 16, mwaka huu napigiwa simu na Ofisa Habari wa Umoja wa Mataifa (UN), Stella Vuzo, kuwa nimeteuliwa kwenda kuripoti kazi zinazofanywa na Umoja huo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.
Uwezo wa kumpiga tunao, Sababu ya kumpiga tunayo
Hotuba ya Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa tarehe 2 Novemba, 1978 alipokuwa akitangaza vita vya kupambana na uvamizi wa majeshi ya Idd Amini katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Hivi karibuni Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Jamii (SSRA) iliwekwa ‘kitimoto’ na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyo chini ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na makamu wake, Deo Filikunjombe wa Ludewa.
Sumaye awe mkweli, hajawahi kuichukia rushwa
Nianze kwa maneno mepesi. Anachokifanya sasa hivi Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, ni kutapatapa. Amegeuka kuwa mtu wa kulalama na kulalamika kila uchao utadhani ndiyo kwanza “anazaliwa”, na wala hajawahi kuwa mmoja wa vigogo wakubwa kabisa Tanzania.
Tusifanye majaribio katika urais 2015
Kadri muda unavyozidi kusonga mbele naona joto la kuwania urais linapanda. Joto hili linapanda kwa wanasiasa, wapambe wao na hata viongozi walioko madarakani wanaanza kuangaliangalia nani watamsaidia kushika dola kisha aendelee ‘kuwaenzi’.
Kikwete awakoroga wagombea urais
KAULI mbili zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete juu ya kushika wadhifa huo mkubwa nchini, zimewachanganya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza na wale wanaotajwa kuwania kumrithi.
- Mifugo na Uvuvi 2025/26: Kanzidata mpya kuwanufaisha wavuvi
- Serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mitungi ya gesi laki 4.4- Kapinga
- Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaomba Bunge Bajeti ya bil. 476.7 kwa mwaka 2025/26
- Makao makuu ya viwanda kuwa Dar yamechangia kudidimiza mapato Pwani
- Tumepata maarifa ya kutosha kutoka Mahakama ya Tanzania- Msajili Mkuu Kenya
Habari mpya
- Mifugo na Uvuvi 2025/26: Kanzidata mpya kuwanufaisha wavuvi
- Serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mitungi ya gesi laki 4.4- Kapinga
- Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaomba Bunge Bajeti ya bil. 476.7 kwa mwaka 2025/26
- Makao makuu ya viwanda kuwa Dar yamechangia kudidimiza mapato Pwani
- Tumepata maarifa ya kutosha kutoka Mahakama ya Tanzania- Msajili Mkuu Kenya
- Mbeki atembelea eneo la Mazimbu Morogoro
- Mbunge Mavunde akabidhi matofali 41,000, saruji tani 102 Dodoma Jiji
- CRDB na Taasisi ya Aga Khan waingia makubaliano kurahisisha ulipaji wa ada
- Wiki ya Azaki kufanyika Juni 2- 6 Arusha
- Benki ya CRDB yatoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali
- JWTZ yashiriki zaidi ya operesheni sita za Uokoaji Ndani na Nje ya Nchi kwa miaka minne – Dk Stergomena Tax
- Mbunge apongeza juhudi za Serikali katika kukuza kilimo cha Mkonge
- Lindi mbioni kuwa lango kuu la uchimbaji madini
- Tanzania yazidi kujifunza uhifadhi na usimamizi wa mazingira kupitia bandari kupata chanzo cha biashara
- TMA yatabiri uwepo wa baridi Juni -Agosti baadhi ya maeneo
Copyright 2024
Designed by
JamhuriMedia