Latest Posts
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
EFD kuongeza mapato ya Serikali wapiga kura
Serikali imeamua kuanzisha mfumo wa uotoaji risti kwa kutumia Mashine za Kielekitroniki za Bodi (EFD). Kwa mujibu wavuti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mfumo huo unachukuwa nafasi ya mashine za rejesta za fedha ambazo zimekuwa zikitumika zamani.
Mashine hizo hazikukidhi mahitaji yaliyotarajiwa ikiwa ni pamoja na kurahisisha mauzo kwenye sehemu za biashara.
Mteja na Sayansi ya kununua
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa gazeti hili, pamoja na wapenzi wa safu hii. Kwa takribani wiki nne sikuwapo hewani kutokana na sababu kadhaa ikiwamo kutingwa na shughuli za kiujasiriamali.
- Fainali Kombe la ashirikisho Barani Afrika kufanyika Uwanja wa Amaan Z’bar
- Lissu arejeshwa Gerezani hadi Juni 2, kesi kusikilizwa kwa njia ya kawaida
- Wizara ya Maliasili na Utalii kununua ndege nyuki 12, kufuatilia mienendo ya wanyapori
- Wachimbaji 17 wafukiwa na kifusi machimbo ya Mwakitolyo, sita wafariki
- Wizara ya Maliasili na Utalii yaomba zaidi ya Bilioni 359/- kwa Bajeti ya 2025/2026
Habari mpya
- Fainali Kombe la ashirikisho Barani Afrika kufanyika Uwanja wa Amaan Z’bar
- Lissu arejeshwa Gerezani hadi Juni 2, kesi kusikilizwa kwa njia ya kawaida
- Wizara ya Maliasili na Utalii kununua ndege nyuki 12, kufuatilia mienendo ya wanyapori
- Wachimbaji 17 wafukiwa na kifusi machimbo ya Mwakitolyo, sita wafariki
- Wizara ya Maliasili na Utalii yaomba zaidi ya Bilioni 359/- kwa Bajeti ya 2025/2026
- Serikali kutatua changamoto ya kufurika wa mito
- Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali
- Majaliwa : Serikali imejipaga kudhibiti magugumaji ziwa Victoria
- Nyongeza ya mshahara asilimia 35.1, uthibitisho wa Rais Samia kuwajali wafanyakazi
- Wizara ya Maliasili yatangaza vipaumbele 10 vya Bajeti 2025/2026 ikiwemo kuinua italii na uhifadhi
- (no title)
- Tundu Lissu afikishwa mahakamani
- Brigedia Jenerali Mstaafu Allan Mwakamyanda afariki dunia
- Makamu wa Rais akiwasili nchini Brazil
- Joe Biden agunduliwa na saratani ya tezi dume