Latest Posts
Yah: Tunahitaji utashi, si lazima kuishi kama kenge
Kuna wakati huwa najiuliza maswali mengi ambayo kimsingi naona yanajibiwa na idadi kubwa ya shule za misingi, sekondari na vyuo vikuu vilivyopo. Najiuliza tuna wasomi wangapi?
Rais Kikwete usikubali waziri huyu kuchafua jina lako
Tanzania ni nchi inayoheshimika sana kimataifa. Inaheshimika kwa kuwa moja ya nchi chache duniani zilizokubali kuendesha mambo yake kwa uwazi. Imetia saini mkataba wa Open Government Initiative (Serikali ya Uwazi) uliohasisiwa na Rais Barack Obama wa Marekani. Si hilo tu, Rais Jakaya Kikwete amekuwa kiogozi wa kwanza kusikia kilio cha Watanzania juu ya Katiba mpya.
Ujenzi wasimama uwanja wa Kombe la Dunia
Kazi ya ujenzi katika uwanja utakaotumika kwa mashindano ya soko Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil, zimesimamishwa baada ya Jaji wa Mahakama kuhofia usalama.
Tuwe makini, mitandao ya uhalifu inaongezeka
Kwa muda sisi JAMHURI tumekuwa tukiandika habari zinazohusu wasafishaji na wauza mihadarati; na pia matapeli wa biashara ya madini waliokubuhu. Tulichobaini ni kwamba wahusika wakuu kwenye biashara, hii wanalindwa na baadhi ya viongozi wakubwa katika nchi yetu. Mitandao ya uhalifu katika Tanzania ni mipana na yenye nguvu kuanzia ngazi za chini hadi katika vyombo vya ulinzi na usalama.
CIDTF: Korosho inaweza kuwainua wakulima
Korosho ni moja ya mazao makuu ya biashara nchini. Kwa sasa zao hili hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania, yaani Lindi na Mtwara ikifuatiwa na Mkoa wa Ruvuma, Pwani na Tanga.