JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FIKRA YA HEKIMA

CCM waache unafiki tozo ya kodi ya simu

Nianze kwa kuwashukuru wasomaji wa JAMHURI waliotumia muda na gharama kunipigia simu na kunitumia ujumbe mfupi wa maneno (SMS), kuelezea maoni na mitazamo yao kuhusu makala niliyoandika wiki iliyopita katika Safu hii, iliyokuwa na kichwa cha habari “Majeshi ya vyama vya siasa yafutwe”.

KONA YA AFYA

Vidonda vya tumbo na hatari zake (6)

Katika sehemu ya tano ya makala haya yanayoelezea vidonda vya tumbo na hatari zake, Dk. Khamis Zephania, pamoja na mambo mengine alizungumzia maisha na kazi ya kiumbe kinachofahamika kama H. Pylori ambacho huishi ndani ya tumbo la binadamu. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya sita…

Katiba mpya iakisi uzalendo (2)

Sehemu iliyopita, mwandishi alieleza hatari ya kuwa na uraia wa nchi mbili, akisema haufai. Pia akataka wananchi wafikirie kiuzalendo Katiba yetu na iwe kweli ya Kiafrika na hasa hasa ya Kitanzania. Endelea…

Waislamu tuwatambue maadui wetu

Ndugu zangu, tunapokuwa tunajiuliza mhemuko wa udini unatoka wapi au nani wameusababisha na kuuasisi, si vibaya tukajua maadui wakuu kwa upande wetu Waislamu.

FASIHI FASAHA

Jina Tanganyika lina kasoro gani?

Rasimu ya Katiba inaeleza, “Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Shirikisho lenye Mamlaka Kamili ambayo imetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambazo kabla ya Hati za Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964 zilikuwa nchi huru.” (Sura ya kwanza – Jamhuru ya Muungano 1. (i).

Yah: Kodi ya simu Yes, ya madini No

 

Kila kukicha siku hizi ni mpango madhubuti wa kodi mpya. Sasa nasikia inataka kuibuka kodi ya simu, yaani tuwe tunalipia kila mwezi Sh 1,000. Kwa kweli tutakoma, maana hiyo sayansi ya mawasiliano mlivyoileta kwa kasi ilitufanya tujisahau mambo mengi. Kumbe ulikuwa ni mtego wa kutuingiza katika tatizo hili.