JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tunaposubiri machafuko ili tunyooshe mambo

Mwaka 1953 nilikuwa mwanafunzi wa darasa la kumi, miaka hii ni kidato cha nne, nilikuwa nasoma Shule ya Sekondari ya Chidya, wilayani Masasi, Kusini Tanzania (Tanganyika enzi hizo). Shule ya Chidya ilikuwa shule ya kwanza ya sekondari Kusini Tanganyika. Ilianzishwa…

VAT itaua utalii nchini

Serikali imetakiwa kutazama upya mpango wake wa kukopa ndani na nje ya nchi pamoja na kutafakari upya suala la kuanzisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika sekta ya utalii. Bajeti iliyowasilishwa bungeni, Dodoma na Waziri wa Fedha na Uchumi,…

Milioni 50 kila kijiji, walipa kodi wapya

Kwa mara ya kwanza Serikali mpya ya Rais John Pombe Magufuli, imesoma bajeti yake ambayo tumeona fedha nyingi zikipangwa kwenye miradi ya maendeleo. Ni jambo jema kwa kuwa wakati wa kampeni tuliahidiwa Serikali itatatua matatizo ya wananchi hasa kuwapatia maendeleo. …

Friedkin Conservation Fund wanavyoyumbisha Serikali

Friedikin Conservation Fund (FCF) ni Kampuni tanzu ya kampuni za uwindaji wa kitalii zinazomilikiwa na tajiri Mmarekani, Friedkin. Kampuni hizi zimekuwa mstari wa mbele kuvuruga tasnia ya uwindaji wa kitalii nchini Tanzania. Zimekuwa zikikiuka sheria za nchi kwa makusudi huku…

Ndugu Rais wanaochinjwa watakapokataa kuchinjwa tutachinjana!

Ndugu Rais, wako wapi wale viongozi wenye fikra nzito? Fikra zilizo juu ya vyama vyao vya siasa? Fikra sahihi kama za Baba wa Taifa aliyewafanya Watanzania kusema ‘nchi yangu kwanza?’.  Fikra zilizowafanya wanawema wa nchi  hii kuiona nchi hii ni…

Maisha yanaongozwa na malengo (2)

Upo ukweli unaopendwa kutumiwa na watu wengi sana. Ukweli huo unasema hivi; “Kazi ya Mungu haina makosa.’’ Ni ukweli kwamba hujaumbwa kwa makosa wala kwa bahati nasibu.  Mwanasayansi Albert Einstein anasema,“Mungu hachezi bahati nasibu.’’ Mshairi Russel Kelfer anasema, ‘Wewe ni…