Latest Posts
Profesa Mkumbo uko sahihi, Lowassa jembe
Hivi karibuni, nilipigiwa simu na msomaji wa makala zangu na kuniuliza kama niliwahi kupitia moja ya makala zilizoandikwa na Profesa Kitila Mkumbo, kwenye moja ya magazeti yanayochapishwa hapa nchini. Makala hiyo ilibeba kichwa cha habari kisemacho ‘Msingi na uhalisia wa taswira ya uchapa kazi ya Lowassa’ ya Septemba 24, mwaka huu.
UDA yaondoa ngumi, ngono kwa wanafunzi Dar
Miaka kadhaa iliyopita, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam hawakuwa na uhakika wa kusafiri salama kutoka eneo moja kwenda jingine.
Hali hiyo ilichochewa na uhaba wa huduma za usafiri wa umma na za kiwango cha chini tofauti na majiji mengine kwenye mataifa mbalimbali barani Afrika, Ulaya na Marekani.
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Mrema ni mtu hatari sana — Leo Lwekamwa
*Asema aliwahi kuitosa TLP dakika za mwisho na kuhamia NCCR-Mageuzi
*Mwanzo ilikuwa ahamie Chadema, Mtei akamkatalia akijua…
*Adai ana mipango ya Serikali
* Aamua kurudi CCM kujisalimisha