Latest Posts
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Pluijm uzingatiwe
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Hans Van Der Pluijm, ametema nasaha nzito kwa timu hiyo, ambazo zinastahili kuzingatiwa pia na klabu nyingine za soka hapa Tanzania. Akizungumza katika hafla ya kumuaga…
Mameneja Tanesco wanolewa kuhusu Mazingira
Kutokana na upungufu wa umeme unaoikabili nchi yetu ya Tanzania, tunategemea kuwa uwekezaji katika sekta ya nishati utaongezeka, hivyo kuibua changamoto nyingi za kimazingira, kiuchumi na kijamii.
Haya yamebainishwa na Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mazingira Wizara ya Nishati na Madini, Gedion Kasege, hivi karibuni wakati akifungua semina ya siku tano iliyowahusisha mameneja wa Tanesco nchini ili kujifunza masuala ya uhifadhi wa mazingira (Strategic Environmental Impact Assesment), utwaaji wa ardhi, Sheria ya Mazingira na masuala ya jinsia katika sekta na jinsi ya kukabiliana nayo kuweza kufikia maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii.
Tukatae ukatili dhidi ya albino (2)
Juma lililopita nilizungumzia chimbuko na dhana potofu zinazoendelea miongoni mwa jamii yetu kuhusu watu wenye ualbino. Leo naangalia masuala ya utu, afya, haki, matatizo na usalama wao.
“Watu wenye ualbino” kama wanavyotaka wao wenyewe kuitwa, na wasiitwe albino au zeruzeru kwa sababu majina hayo yanadhalilisha utu wao. Binafsi sioni kama kuna udhalilishaji juu yao.
Maneno hayo mawili ya Kiswahili na Kiingereza yote yanatoa maana ile ile moja ya kukosa rangi kamili ya mwili. Ni vyema ndugu zangu wayakubali majina hayo. Nasema ninawaomba wayakubali majina hayo.
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
Habari mpya
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
- DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
- PPRA yawahamasisha wasanii kujisajili katika mfumo wa NeST
- Rais Samia kuhudhuria sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru Umoja wa Visiwa vya Comoro
- Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita
- Rais Ruto kujenga kanisa kubwa Ikulu
- Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda