JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NUKUU ZA WIKI 68

Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa

“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimuangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki…. lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema…. aaaah kweli huyu?”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Leo ni leo Man United vs Real Madrid

Leo ni leo, asemaye kesho ni mwongo. Timu maarufu za soka barani Ulaya, Manchester United na Real Madrid, leo zinatinga uwanjani kumenyena katika kinyang’anyiro cha Mabingwa wa Ulaya (UEFA). Manchester United inatinga katika mtanange huo ikiwa inajivunia mshambuliaji wake, Christiano…

RATIBA YA LIGI YA MABINGWA ULAYA (UEFA) 2013

Jumanne Machi 5, 2013 Man. United vs   Real Madrid     saa 4:45 usiku Dortmund     vs   Shakhtar Do.    Saa 4:45 usiku   Jumatano Machi 6, 2013 Juventus       vs    Celtin    …

Ligi ya Mwanza mwendo mdundo

Mashindano ya soka ya Ligi ya Mkoa wa Mwanza msimu huu, yametajwa kuwa na msisimko mkubwa ikilinganishwa na msimu uliopita. Msisimko huo unadhihirishwa na ongezeko kubwa la mashabiki na wapenzi wa soka, wanaojitokeza kushuhudia na kushangilia mechi husika katika viwanja…

Ligi ya Mwanza mwendo mdundo

Mashindano ya soka ya Ligi ya Mkoa wa Mwanza msimu huu, yametajwa kuwa na msisimko mkubwa ikilinganishwa na msimu uliopita. Msisimko huo unadhihirishwa na ongezeko kubwa la mashabiki na wapenzi wa soka, wanaojitokeza kushuhudia na kushangilia mechi husika katika viwanja mbalimbali.

Yah: Haya ndiyo maendeleo au tumelogwa? (2)

Mwisho wa makala iliyopita, nilisema nawafahamu waganga wa jadi ambao tukitaka kugangwa inatubidi tuwafuate. Kwa bahati mbaya yawezekana wakawa wametangulia mbele ya haki lakini bado kuna dawa walizoandika ama kuongea juu ya maradhi yetu, hebu tuige kabla hatujawa machizi wa kushinda jalalani.