Latest Posts
FIKRA YA HEKIMA
Kwa hili, Lema amempiku Zitto
shabiki wa soka kuliko michezo mingine kwa muda mrefu. Kama Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, wangekuwa timu mbili za soka zinazopepetana, safari hii ningemshangilia Lema.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -2
sehemu ya kwanza ya makala haya, wiki iliyopita nilizungumzia chimbuko la vyama vingi vya siasa kabla na baada ya Tanzania kuwa huru. Leo tunaendelea na sehemu ya pili.
Baada ya vyama vya TANU na ASP kuwa imara katika harakati za kudai uhuru, vyama vingine vingi vilianzishwa vikiwa na malengo ama vya kudai uhuru au kupinga harakati za kupigania uhuru na kuendeleza maslahi ya wakoloni kwa mfano, Kule Zanzibar vyama kama Zanzibar and Pemba People Party ZPPP, Umma Party vilianzishwa.
Mambo muhimu kuanzisha biashara
Biashara ni pamoja na hali ya kununua na kuuza kuzalisha mali na kuuza utaalamu wito na makubaliano ya kipekee yenye lengo la kibiashara kwa nia ya kupata faida.
Toure atajwa tuzo za FIFA
Mchezaji wa kiungo wa kati wa Manchester City, Yaya Toure, ni kati ya wachezaji 23 waliotajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora zaidi kwa mwaka huu wa tuzo za Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Wanariadha Kenya kuchunguzwa
Kenya imekosolewa na Shirika la Kudhibiti matumizi ya Dawa za Kusisimua Misuli kwa kukosa kufanya uchunguzi katika ongezeko la visa vya wakimbiaji wa Kenya wanaoshukiwa kutumia dawa hizo.
Malinzi: Simba kuweni na amani
Wiki iliyopita Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilimpata rais mpya, Jamal Malinzi, anayechukua mikoba ya aliyekuwa Rais wa Shirikisho hilo, Leodegar Tenga, aliyeongoza kwa kipindi cha miaka ninane mfululizo.