Latest Posts
Kwanini viwango vya wanasoka Tanzania vinashuka?
Tofauti na wanasoka, hasa washambuliaji mahiri wanaocheza Ligi Kuu za Ulaya kama Hispania, England na Ufaransa, straika wanaocheza Ligi Kuu ya Soka hapa nchini mara zote wameonesha kuwa wa msimu mmoja, siyo vinginevyo.
Julius Nyerere: Tukiendeleze Kiswahili
“Pamoja na kwamba mimi binafsi napenda tuendelee kufundisha Kiingereza katika shule zetu, kwa sababu Kiingereza ndicho Kiswahili cha Dunia, tuna wajibu mkubwa kuzidi kukiendeleza na kukiimarisha Kiswahili: Ni silaha kubwa ya umoja wa Taifa letu.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, yanayopatikana katika moja ya hotuba zake kwa umma. Alizaliwa Aprili 13, 1922 kijijini Butiama, Mara na kufariki Oktoba 14, 1999 jijini London, Uingereza.
Kuna umuhimu wa wafanyabiashara ‘kuolewa Bongo’
Novemba 11, mwaka huu, nilikuwa miongoni mwa watu waliohudhuria semina ya biashara na ujasiriamali katika ukumbi wa Matumaini Centre, uliopo Sabasaba Iringa mjini. Semina hii iliendeshwa na mtaalamu na mshauri wa kimataifa wa masuala ya biashara na ujasiriamali, Perecy Ugula, kupitia kampuni yake ya Great Opportunity Consulting Limited (GOC Ltd).
‘Nauza dawa ya kukuwezesha kufaulu mitihani’
Ukisoma mabango haya niliyokuwekea kwenye ukurasa huu leo, hutapata shida kutambua kuwa matatizo mengi ya Watanzania, si tu kwamba yanasababishwa na wanasiasa.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti
Naanza maelezo yangu kwa kusema yafuatayo: Msema kweli hukimbiwa na marafiki zake; siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo; nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
Kinana umeanza vizuri, uendelee, umalize vizuri
Nilikuwa naelekea kukata tamaa kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitakuwa na viongozi wanaokerwa na umaskini unaoendelea kuwanyima Watanzania wengi maendeleo ya kweli.