JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yanga ina jinamizi la saikolojia

Kila upande wa mabingwa wa kandanda Afrika Mashariki na Kati, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) yenye makao yake makuu katika mitaa ya Jangwani na Twiga jijini, unaelekea kukabiliwa na jinamizi la kisaikolojia.

Zijue amri 10 za kujihakikishia umasikini milele

Mpendwa msomaji, najua juma lililopita vyombo vya habari vilitawaliwa na mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi. Nawashukuru wanahabari kwa mshikamano waliouonesha nchi nzima kwa maandamano, wanahabari tuendelee hivi hivi bila kutetereka.

Papa John Paul II: Mapadre si wanasiasa

“Ninyi ni wachungaji, si viongozi wa kijamii wala viongozi wa kisiasa. Hebu tujiepushe na mihemko itakayotufanya kuchanganya huduma ya Mungu na masilahi ya kupita yaliyotiwa chumvi.” Haya ni maneno ya Baba Mtakatifu Papa John Paul II alipokuwa akiwaasa wachungaji na…

Tanzania nako kuna 
Okwi, Bocco, Bahanuzi

Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inayodhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, hatimaye imeanza Jumamosi iliyopita huku timu tatu za Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club mabingwa watetezi, Azam (Wanalambalamba) iliyoshika nafasi ya pili na Dar es Salaam Young Africans (Yanga) ya mitaa ya Jangwani na Twiga, zote za jijini zikipewa nafasi kubwa ya kuitawala.

Falcao kumchachafya Ronaldo?

Msimu uliopita, mshambuliaji wa Atletico Madrid, Falcao, alifunga mabao 23 katika Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), hatua iliyomfanya awe wa tatu nyuma ya Cristiano Ronaldo wa Real Madrid, lakini wote wakiongozwa na mwanasoka bora wa dunia anayeichezea Barcelona, Lionel Messi.

NFRA, WFP kuuziana nafaka

Hatimaye Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wametiliana saini katika Hati ya Makubaliano ya kuuziana nafaka, hususan mahindi.