Latest Posts
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Hivi karibuni Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Jamii (SSRA) iliwekwa ‘kitimoto’ na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyo chini ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na makamu wake, Deo Filikunjombe wa Ludewa.
Sumaye awe mkweli, hajawahi kuichukia rushwa
Nianze kwa maneno mepesi. Anachokifanya sasa hivi Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, ni kutapatapa. Amegeuka kuwa mtu wa kulalama na kulalamika kila uchao utadhani ndiyo kwanza “anazaliwa”, na wala hajawahi kuwa mmoja wa vigogo wakubwa kabisa Tanzania.
Tusifanye majaribio katika urais 2015
Kadri muda unavyozidi kusonga mbele naona joto la kuwania urais linapanda. Joto hili linapanda kwa wanasiasa, wapambe wao na hata viongozi walioko madarakani wanaanza kuangaliangalia nani watamsaidia kushika dola kisha aendelee ‘kuwaenzi’.
Kikwete awakoroga wagombea urais
KAULI mbili zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete juu ya kushika wadhifa huo mkubwa nchini, zimewachanganya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza na wale wanaotajwa kuwania kumrithi.
Putin anakuja Tanzania
LICHA ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kusuasua kuthibitisha kuhusu ujio wa Rais wa Russia, Vladimir Putin taarifa za uhakika zinasema kwamba mwamba huyo wa kimataifa atatua nchini Februari, mwakani.
Nyalandu aichongea Ikulu kwa Marekani
*Aona Pinda hana msaada, awatafuta TAHOA
*Alalama wenzake serikalini wanamhujumu
Na Mwandishi Maalumu
Habari mpya
- Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi
- WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
- Luhaga Mpina aondolewa katika orodha ya wagombea urais 2025
- Mpina ajibu mapingamizi yake, amwekea pingamizi mgombea wa CCM Dk Samia
- Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk Samia atua Zanzibar,
- Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni
- Bilioni 51/- za mradi wa TACTIC kuongeza thamani ya Jiji la Mbeya
- Wajasiriamali waliomba dawati maalum la uwezeshaji TRA kuwa mwarobaini wa kero zao
- Kingu awaombea kura za wagombea wa CCM Jimbo la Songea Mjini
- ‘Dk Ndumbaro anapaswa kupewa mitano tena ili amalizie miradi aliyoianzisha’
- Samia ahitimisha kampeni kwa kishindo Kigoma
- Ilani ya Uchaguzi ya CCM imelitazama kipekee kundi la vijana kwa kulijengea mazingira mazuri – Wasira
- Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yasisitiza uhifadhi wa mto Mara
- Kigogo ACT – Wazalendo Kigoma atimkia CCM
- Manispaa ya Mji Kibaha kufungua shule mpya tatu za sekondari -Dk Shemwelekwa
Copyright 2024
Designed by
JamhuriMedia