JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania nchi kubwa, inavuka Kibaha

 

 

Kwa Watanzania wengi Tanzania ni nchi kubwa sana. Kwa Kaskazini inaanzia Ziwa Nyanza (Ziwa Victoria) ikipakana na Kenya na Uganda, na kushuka Kusini hadi Mto Ruvuma inapopakana na nchi ya Msumbiji.

Waraka kwa Wabunge kuhusu Escrow (2)

Waheshimiwa Wabunge,

Hii ni sehemu ya pili ya masimulizi juu ya ukweli wa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow.

Mjane Geita aelezea Finca ilivyompora mali

Yakomba majokofu mawili, televisheni, deki

Pia jenereta kubwa kwa deni la Sh. 600,000

Mama aona maisha magumu, ataka kujiua

 

Malalamiko dhidi ya Benki ya FINCA Tanzania, Tawi la Geita, kwamba inanyanyasa wajasiriamali, yamemuibua mjane aliyeeleza alivyoporwa kwa mabavu vitu vyake vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 1.65 kabla ya kuuzwa kwa bei ya Sh 600,000.

Ni akina nani walichukua fedha Stanbic?

Desemba 22 mwaka jana, Rais Jakaya Kikwete alihitimisha mjadala wa sakata la Escrow pale alipozungumza na wazee wa Dar es Salaam.

Wavamizi wa maeneo ya wazi waadabishwe

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kwa kushirikiana na viongozi waadilifu katika Jiji la Dar es Salaam, wamelikomboa eneo la wazi lililovamiwa na mfanyabiashara na kujengwa jengo la biashara.

Tumepata wapi upofu kutoona aliyofanya Maswi?

 

Wiki mbili zilizopita nilipata fursa ya kusafiri kwenda Rwanda, Burundi na mkoani Kagera. Sehemu kubwa ya safari hii nilitumia gari. Nimepita nchi kavu kutoka Mwanza, Bukoba Mjini, Biharamulo hadi Ngara. Niliyoyaona yamenikumbusha nchi ilivyokuwa miaka ya nyumba kwenye suala la umeme.