JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mwalimu Nyerere wadanganya umma

Kwa wiki mbili zilizopita gazeti hili la JAMHURI, limechapisha taarifa za upungufu mkubwa na matatizo mbalimbali yaliyoko katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, zamani kikijulikana kama Chuo cha Siasa Kivukoni.  Miongozi mwa habari zilizochapishwa na JAMHURI, ni pamoja na…

Tufungie mlango misaadaa ya wahisani

Zimepita wiki tano bila mimi kuandika safu hii ya SITANII. Nilikuwa na jukumu zito la kuuhabarisha umma juu ya mbinu za aina yake zinazotumiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL Group) kuepuka kodi. Katika habari hizo nimefanya uchunguzi wa kina…

Historia inavyopotoshwa shuleni

Walimu wanapolalamika kwamba wanatumia vitabu vibovu kufundishia, hapana shaka wengi hawajui ukubwa na uzito wa tatizo hili. Kuna walimu katika shule zetu wanajua mambo sahihi lakini wanalazimika kufundisha mambo potofu yaliyomo vitabuni kwa sababu wasipofanya hivyo wanafunzi wao watashindwa mtihani!…

Wanywaji wailalamikia TBL

Wananchi na watumiaji wa bia wamelalamikia hatua ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupandisha bei ya bia kabla hata bajeti ya Serikali haijapitishwa. Tangu Aprili 1, 2016 bei za bia zimepanda kutoka wastani wa Sh 2,300 na kufikia 2,500, huku…

Mwalimu Nyerere alionya haya ya MCC mwaka 1967

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika hotuba yake ya Februari 5, 1967 jijini Dar es Salaam, alieleza athari za nchi kuwa omba-omba. Pia alionya hatari ya kutegemea mataifa makubwa kiuchumi. Sehemu hii ya hotuba inapatikana kwenye kitabu chake…

Wastaafu wanauliza wakuombee kwa Mungu yupi?

Rais wangu pamoja na mimi kutangulia kuliona jua miaka mingi kabla yako, bado wote tumezaliwa Tanganyika na tumeanza kuifahamu dunia tukiwa Tanganyika. Leo tuko hivi tulivyo, wewe ni Rais wangu na mimi ni mtumishi wako nisiyestahili, lakini tuko katika nchi…