JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk. Ulimboka siri zavuja

*Uchunguzi waanza kuleta majibu yenye utata
*Yadaiwa madaktari walimshitukia, wakamteka
*Madaktari wasisitiza serikali haiwezi kujinasua

Siri za uchunguzi wa awali wa tukio la kutekwa na kujeruhiwa kwa Dk. Stephen Ulimboka zimeanza kuvunja, lakini kwa mshangao wa wanaojua kilichotokea, uchunguzi huo unatoa majibu yenye tata.

Kamati ya Jumuiya ya Madaktari Tanzania yapinga Tume

Lifuatalo ni tamko la Jumuiya ya Madaktari Tanzania kwa waandishi wa habari walilolitoa Juni 28, mwaka huu juu ya Tume iliyoundwa na Polisi kuchunguza kutekwa na kupigwa kwa Dk. Stephen Ulimboka.

 

Madaktari wote hatuna imani na Tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi nchini yenye lengo la kuendesha uchunguzi juu ya kutekwa, kunyanyaswa na kupigwa vibaya kwa Dk. Stephen Ulimboka na tunataka chombo huru kiundwe ili kupata ukweli wa tukio hilo.

 

Natabiri Nyalandu atakuwa tatizo

Siku chache baada ya uteuzi wa viongozi wakuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii – waziri na naibu wake, niliandika waraka mahsusi uliowahusu. Moja ya mambo niliyoyazungumza ni namna wizara hii ilivyo na vishawishi vingi vinavyotokana na ukwasi wake.

 

Hotuba ya jk

 

Kuna madai ya madaktari yasiyotekelezeka – Rais Kikwete

Mapema mwezi huu, Rais Jakaya Kikwete alihutubia Taifa kama ilivyo ada ya utaratibu wake aliojiwekea kila mwezi. Pamoja na mambo mengine, Rais Kikwete alizungumzia mgomo wa madaktari ulioathiri huduma za afya katika baadhi ya hospitali za umma nchini. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba hiyo iliyogusia suala la mgomo wa madaktari.

Madaktari Bingwa Dar watoa masharti magumu

Hili ni tamko la madaktari bingwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hawa wanahusisha hospitali za umma za Muhimbili (MNH), MOI, Ocean Road na Hospitali za manispaa katika mkoa huo.

 

CCM iwabaini, iwatimue wanaoihujumu

Jumatano iliyopita, baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka kata mbili za Azimio wilayani Temeke na Tandale, Wilaya ya Kinondoni mkoani  Dar es Salaam, waliandamana ili kupinga hujuma walizodai zinavuruga uchaguzi mkuu wa ndani wa chama hicho na jumuiya zake zote unaoendelea hivi sasa.