JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mkurugenzi Kibaha asikiliza na kutatua kero za wajasiliamali Manispaa ya Kibaha

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, akiambatana na baadhi ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoka Halmashauri, ameendelea na zoezi la kufanya mikutano ya ana kwa ana na wajasiriamali wadogo wanaofanya biashara pembezoni mwa barabara katika Kata ya…

Wananchi waelimishwa kuchagua mbinu za kisasa za kuvuna asali

Wananchi wanaendelea kuelimishwa kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani kubwa sokoni, lakini pia wanasaidia kuchavusha mazao yetu na kulinda uhai wa mazingira. Ni muhimu wadau na wananchi…

NCAA kuimasha miundombinu ya maji ndani ya hifadhi

Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro MAMLAKA ya hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA), kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii na Idara ya huduma za Uhandisi, inaendelea kuimarisha miundombinu ya maji katika vijiji vya Sendui na Irkeepusi vilivyopo tarafa ya Ngorongoro ikiwa…

Tanzania yazidi kusonga mbele katika mapinduzi ya kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Sekta ya mawasiliano nchini Tanzania inaendelea kushuhudia ukuaji mkubwa, hali inayochochewa na ongezeko la watumiaji wa intaneti, vijana wanaokumbatia teknolojia kwa kasi, pamoja na sera za Serikali zinazohamasisha uvumbuzi katika TEHAMA. Miongoni mwa…

Vifaru vya Israel vyaingia katika eneo kubwa la makazi la Gaza

Wakazi wa eneo la Gaza na mashuhuda wanasema makumi ya vifaru na magari ya kijeshi ya Israel yameingia katika wilaya kubwa ya makazi ya mji wa Gaza, katika siku ya pili ya mashambulizi ya ardhini ya Israel yenye lengo la…

Mgombea urais AAFP aahidi kuwachapa viboko wanaokula rushwa, aahidi kuwepo kwa uzalendo

Mgombea Urais kupitia cha cha wakulima AAFP Kunje Ngombalemwilu amesema pindi atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha anajenga madarasa kwa ajili ya kufundisha uzalendo na maadili ambapo elimu hiyo itatolewa na wastaafu nchini. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam…