JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Silinde: Wakandarasi wazawa hakikisheni kunakuwa na tija katika miradi ya umwagiliaji

📍 Bariadi- Simiyu Serikali imewataka wakandarasi wazawa wanaotekeleza miradi ya Umwagiliaji nchini kuhakikisha miradi hiyo inaleta tija kwa wakulima na taifa kwa ujumla, ikisisitiza kuwa uzembe au kuchelewesha utekelezaji kutaibua hatua kali za kisheria dhidi yao. Rai hiyo imetolewa na…

Serikali yaweka mwongozo kuwabana mawakala wa ajira nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deo Sangu, ametoa mwongozo rasmi kwa mawakala wote wanaowatafutia Watanzania ajira nje ya nchi. Hatua hii inalenga kuondoa mawakala wasio halali waliokuwa…

Mmiliki wa kituo cha kulea yatima ahukumiwa jela maishakwa kubaka na kuwanyanyasa kingono watoto

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha imemhukumu Stephano Anyosisye Mwasala (35), mkazi wa Msongola wilayani Kibaha, kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuanzisha kituo cha kulelea watoto bila leseni, kubaka na kuwanyanyasa kingono…

RC Kunenge : Mshikamano na kasi ya utekelezaji ndio ajenda Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMesia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa Rai kwa viongozi na watendaji wa Serikali mkoani humo kufanya kazi kwa mshikamano, mtazamo mmoja na kuzingatia vipaumbele vya Mkoa ili kufanikisha utekelezaji wa shughuli za Serikali…

Dk Kijaji aipa tano bodi ya TAWA

Na Sixmund Begashe, JamhuriMedia, Arusha Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imepongezwa kwa ubunifu wake katika utekelezaji wa majukumu yake yaliyosababisha mafanikio katika uhifadhi na Utalii nchini. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu…

EWURA yatoa mafunzo ya kudhibiti malalamiko kwa watendaji wa Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, leo Januari 8,2026 ilitoa elimu kwa watendaji wa Serikali za Mitaa mkoani Njombe kuhusu utaratibu wa kushughulikia malalamiko na…