JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ripoti ya CAG

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni, imevuja.

Mkono kulishwa sumu… Marekani, Uingereza zaibana Tanzania

Serikali za Marekani na Uingereza zimetaka maelezo kutoka Serikali ya Tanzania juu ya madai kwamba

Escrow ni jaribu kubwa kwa Katiba

Wiki hii ni ya majaribu ya aina yake kwa Bunge la Tanzania na dhana ya utengano wa madaraka, kwa maana ya kudurusu ukuu wa Katiba mbele ya sheria nyingine za nchi. Sidhani kama natakiwa kutumia muda mwingi kueleza kashfa ya IPTL kuhusiana na akaunti ya Escrow.

Wabunge msiwaangushe Watanzania

Kwa mara nyingine, wiki hii Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanakabiliwa na mtihani wa kuthibitisha kama kweli ni wawakilishi halali wa Watanzania, au la!

Nyaraka za ufisadi zachomwa Ngorongoro

*Ni wiki moja baada ya vigogo 5 kusimamishwa

*Yaelezwa lengo ni kupoteza ushahidi wa ufisadi

*Majaar akomaa, Nyalandu alinda watuhumiwa

Nyaraka kadhaa muhimu zinazohusu ufisadi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro (NCAA), zimechomwa moto ndani ya ofisi.

Loliondo yageuzwa Kenya

*Siri sasa yafichuka, asilimia 70 si Watanzania

*Uhamiaji Mkoa Arusha lawamani kwa rushwa

 

 

Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Arusha inatuhumiwa kuwa chanzo cha raia wengi wa Kenya kujipenyeza ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kutangaza kuwania nafasi mbalimbali katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba, mwaka huu.