Latest Posts
Rais anasubiri nini kuifumua Wizara ya Elimu
kama tujuavyo imebaki miaka miwili Rais aliyepo madarakani Jakaya Mrisho Kikwete amalize muda wake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tayari tumemsikia Rais Kikwete akijivunia utendaji wake Amesema kwamba wale walioendelea kumsema vibaya kwamba chini ya uongozi wake Tanzania haikupata maendeleo wataoona aibu atakampomaliza muda wake. Atakuwa ameiacha Tanzania ikiwa na maendeleo yasiyo na kifani.
Mwarobaini hutibu mnyauko wa migomba
Mwarobaini ni mojawapo ya mimea maarufu yenye kinga dhidi ya wadudu waharibifu. Ndani yake kuna dawa inayoweza kutolewa kwa urahisi na kutayarishwa na kutumika kama dawa ya mimea ya kuulia wadudu.
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
- Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
- Samia azindua minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
Habari mpya
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
- Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
- Samia azindua minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
- Rais Samia akiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa minara 758 Dodoma
- Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
- Spika Zungu awahimiza wabunge kuachana na karatasi, wahamie mfumo wa kidigitali
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Africa
- Ofisi za Gazeti la Pambazuko zavunjwa na kuibwa nyaraka muhimu
- Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
- Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
- Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera
- Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi
- TBL yatoa wito wa hatua za pamoja za kukabiliana na hatari za pombe haramu Tanzania