Latest Posts
Rais Samia: Kiongozi anayeweka Tanzania kwenye ramani ya maendeleo ya sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifunga rasmi Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini yaliyofanyika mkoani Geita. Hafla hii ilikuwa ishara nyingine ya uongozi wa kipekee wa…
TCRA, TAMWA wazindua tuzo za waandishi wa habari za maendeleo ‘Samia kalamu awards’
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es salaam Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wametangaza rasmi Mashindano ya Tuzo za Waandishi wa habari za maendeleo ‘Samia Kalamu Awards’ zenye kauli mbiu ya…
Tanzania, Hispania zaimarisha diplomasia
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia na Serikali ya Hispania katika sekta za utalii, afya, maji, miundombinu, usafi wa mazingira, kilimo na nishati ambazo zinachangia katika kuboresha maisha ya Watanzania. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii,…