Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 4, 2024
Habari Mpya
Rais Samia akutana na msanii maarufu nchini Korea
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akutana na msanii maarufu nchini Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu HassanĀ akiwa kwenye mazungumzo na Mwimbaji Maarufu wa Muziki wa Jamhuri ya Korea Cho Yong-pil, Jijini Seoul, tarehe 03 Juni, 2024. Mwimbaji huyo Maarufu ameimba nyimbo mbalimbali ikiwemo baadhi za kutangaza vivutio vya Utalii nchini Tanzania.
ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu HassanĀ akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwimbaji Maarufu wa Muziki wa Jamhuri ya Korea Cho Yong-pil mara baada ya mazungumzo yao Seoul, tarehe 03 Juni, 2024. Mwimbaji huyo Maarufu ameimba nyimbo mbalimbali ikiwemo baadhi za kutangaza vivutio vya Utalii nchini Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi Mwimbaji Maarufu wa Muziki wa Jamhuri ya Korea Cho Yong-pil wakati wa mazungumzo yao Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya DVD zenye nyimbo za vivutio vya Utalii nchini Tanzania kutoka kwa Mwimbaji Maarufu wa Muziki wa Jamhuri ya Korea Cho Yong-pil wakati wa mazungumzo yao Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni, 2024.
Post Views:
345
Previous Post
Soma Gazeti la Jamhuri Juni 4 -10, 2024
Next Post
Makamu wa Rais mgeni rasmi kongamano la Dira ya Maendeleo 2050
Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi
Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha
Bilioni 5 kujenga soko la kimataifa Missenyi
Baba atuhumiwa kuua watoto wawili
Wazima moto wapambana kuzuia moto mkubwa Los Angeles
Habari mpya
Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi
Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha
Bilioni 5 kujenga soko la kimataifa Missenyi
Baba atuhumiwa kuua watoto wawili
Wazima moto wapambana kuzuia moto mkubwa Los Angeles
-Tanzania ipo tayari kupokea wakuu wa nchi Afrika katika mkutano wa Nishati wa Mision 300′
Matumizi ya Baruti yaongezeka nchini
Wananchi wampongeza Rais Samia kufikisha umeme vituo vya afya vijijini
Simba yazidi kuchanja mbuga
Balozi Nchimbi amjulia hali Mzee Mangula
Maria Sarungi atekwa Nairobi
TMA yatoa angalizo ya hali ya hewa mbaya kwa siku tano
Rais Dkt. Samia ashiriki maadhimisho ya kilele cha Miaka 61, ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Kisiwa cha Mayotte kukabiliwa na kimbunga kipya Jumamosi
Watu 21 wauawa katika shambulizi la genge nchini Nigeria