KimataifaRais Samia auhutubia mkutano wa hadhi ya juu wa kuipa uwezo vituo vya nishati Jamhuri1 year ago1 year ago01 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano wa hadhi ya juu wa kuipa uwezo vituo vya Nishati pamoja na Nishati jadidifu Kusini mwa Afrika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh, nchini Misri tarehe 08 Novemba, 2022. Viongozi mbalimbali wakiwa katika Mkutano wa hadhi ya juu wa kuipa uwezo vituo vya Nishati pamoja na Nishati jadidifu Kusini mwa Afrika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh, nchini Misri tarehe 08 Novemba, 2022. Post Views: 11 Post navigation Previous: TEF yaishauri Serikali kuwekeza katika mafunzo na vifaa vya uokoajiNext: Zao la korosho lawaingizia wakulima Ruvuma bil.291/-
Tanzania, Kenya zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru Jamhuri6 days ago6 days ago 0