Hizi Ndio Sababu za JWTZ kwenda DRC

Mei, 2013, aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete aliwaaga wapiganaji wa Tanzania waliokwenda DRC kulinda amani dhidi ya waasi wa kundi la M23 Mashariki wa nchi hiyo. Rais Kikwete alimkabidhi bendera kiongozi wa bataliani ya wapiganaji wa JWTZ waliokwenda kujiunga na Jeshi la Umoja wa Mataifa la kulinda…

Read More