JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: JWTZ

Mwanajeshi Aliyeshambuliwa DR Congo Afariki Dunia

Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aliyekuwa katika ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) amefariki dunia nchini Uganda alimokuwa akipatiwa matibabu. Askari huyo ni miongoni mwa askari 44 wa Tanzania waliojeruhiwa katika…

Hizi Ndio Sababu za JWTZ kwenda DRC

Mei, 2013, aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete aliwaaga wapiganaji wa Tanzania waliokwenda DRC kulinda amani dhidi ya waasi wa kundi la M23 Mashariki wa nchi hiyo. Rais Kikwete alimkabidhi bendera kiongozi wa…

ADF waandaliwa ‘kipigo cha mbwa mwizi’ kama cha M23

Ni wazi kuwa siku za kundi la waasi la Allied Democratic Forces (ADF) linaloshutumiwa kwa kuwaua wanajeshi 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), sasa zinahesabika. Kundi hilo lipo DRC na Uganda, na limekuwa likiendesha mauaji kwa…