Msigwa Aelezea Kilichompeleka kwenye Muariko wa Rais Magufuli Iringa
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amewaomba msamaha wananchama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufuatia kauli yake aliyoitoa wakati akiwa katika halfa ya chakula katika Ikulu Ndogo mkoani Iringa. Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na Rais Dkt Magufuli na viongozi waandamizi wa serikali ya awamu ya tano na viongozi wengine wastaafu,…